Uchaguzi 2020 Hii ndo sababu CCM wanakwepa kuzungumzia Dhahabu kwenye kampeni zao

Endelea kulea babu wa kizungu ya TZ tuachie Watz najua unajaribu kupunguza stress kwa kufuatilia mambo ya TZ.

View attachment 1574973
haahahahaha ...what was sample size?error of estimate? Who are EU officials ?? hivi hapo Lumumba hakuna vijana waliofanya statistics ili achonge analysis ya uongo ukweri kama kawaida yenu?? rubbish
 
Jiwe atakuwa sio mzima upstairs .
 
watu wanasema kibaya kinachagulika. mimi naona bora magu japo simkubali kuliko lisu. lisu akiwa rais ni sawa na kuikabidhi nchi kwa wachaga na mbowe. lisu atakuwa kama pappet tu pale. kwa lisu mkuu hapana bora aendelee magufuli.
 
watu wanasema kibaya kinachagulika. mimi naona bora magu japo simkubali kuliko lisu. lisu akiwa rais ni sawa na kuikabidhi nchi kwa wachaga na mbowe. lisu atakuwa kama pappet tu pale. kwa lisu mkuu hapana bora aendelee magufuli.
Nani kakwambia kumchagua Lissu ni kukabidhi nchi kwa wachaga???? Wewe CCM wamekulisha matango pori na wewe unakuja kuyatema humu!!

Labda nikuulize unamaanisha nini unaposema kumchagua Lissu ni kuchagua wachaga na mbowe?
 
Nani kakwambia kumchagua Lissu ni kukabidhi nchi kwa wachaga???? Wewe CCM wamekulisha matango pori na wewe unakuja kuyatema humu!!

Labda nikuulize unamaanisha nini unaposema kumchagua Lissu ni kuchagua wachaga na mbowe?
Umempa za uso
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…