haahahahaha ...what was sample size?error of estimate? Who are EU officials ?? hivi hapo Lumumba hakuna vijana waliofanya statistics ili achonge analysis ya uongo ukweri kama kawaida yenu?? rubbishEndelea kulea babu wa kizungu ya TZ tuachie Watz najua unajaribu kupunguza stress kwa kufuatilia mambo ya TZ.
View attachment 1574973
Jiwe atakuwa sio mzima upstairs .Jiwe ni muongo sana, anaendesha nchi kiujanjaujanja na fiksi nyingi mno
Sikutegemea kuona Jiwe anampitisha Deo Mwanyika mtu aliyefunguliwa mashitaka ya uhujumu uchumi, tena aliyekiri mahakamani kuhujumu uchumi katika madai kwamba anashirikiana na Wezi wa ACACIA kutuibia, kuwa mgombea ubunge kwa tiketi ya CCM huko Njombe Mjini
Bahati nzuri wananchi wameshamstukia kuwa ni msanii
watu wanasema kibaya kinachagulika. mimi naona bora magu japo simkubali kuliko lisu. lisu akiwa rais ni sawa na kuikabidhi nchi kwa wachaga na mbowe. lisu atakuwa kama pappet tu pale. kwa lisu mkuu hapana bora aendelee magufuli.Amini nakwambia, hakuna mtu tapeli kama Jiwe. Huyu mzee tukimwondoa hapo October ndo tutajua mengi. Ingawa Tundu Lissu kasema hatolipa kisasi na atamtunza vizuri Kama Raisi mstaafu ila amini nakwambia machafu yake yakija kuwekwa wazi watu wanaweza andamana kutaka aondolewe kinga ili ashtakiwe ! The guy is simply so evil
Nani kakwambia kumchagua Lissu ni kukabidhi nchi kwa wachaga???? Wewe CCM wamekulisha matango pori na wewe unakuja kuyatema humu!!watu wanasema kibaya kinachagulika. mimi naona bora magu japo simkubali kuliko lisu. lisu akiwa rais ni sawa na kuikabidhi nchi kwa wachaga na mbowe. lisu atakuwa kama pappet tu pale. kwa lisu mkuu hapana bora aendelee magufuli.
Umempa za usoNani kakwambia kumchagua Lissu ni kukabidhi nchi kwa wachaga???? Wewe CCM wamekulisha matango pori na wewe unakuja kuyatema humu!!
Labda nikuulize unamaanisha nini unaposema kumchagua Lissu ni kuchagua wachaga na mbowe?