rugberna97
Senior Member
- Sep 22, 2016
- 147
- 126
Hatimaye Diamond ametoa sababu ya kutopanda jukwaa la fiesta 2016,Akihojiwa na kipindi cha jahazi cha clouds fm Diamond amesema kuwa ndoa(mkataba) yake na vodacom ndio sababu inayomfanya asishiriki fiesta.
Wadhamini wakuu wa fiesta ni Tigo.
Wadhamini wakuu wa fiesta ni Tigo.