Adharusi JF-Expert Member Joined Jan 22, 2012 Posts 14,422 Reaction score 7,350 Oct 24, 2018 #101 kombaME said: Mtuamini tupo vizuri. Mungu amponye huyo binti. "WE TREAT AND GOD HEALS Click to expand... Tunawaamini ila Muda mwingine mnatuua tu
kombaME said: Mtuamini tupo vizuri. Mungu amponye huyo binti. "WE TREAT AND GOD HEALS Click to expand... Tunawaamini ila Muda mwingine mnatuua tu
Swahili Ambassador JF-Expert Member Joined Feb 18, 2018 Posts 204 Reaction score 245 Oct 24, 2018 #102 Walianza wale wenzao wa mamlaka ya hali ya hewa, wakisema leo jua linawaka basi yakupasa utembee na mwavuli. Sasa naona na madaktari nao hawataki kupitwa, siku hizi ukipima hawakukosi na UTI. Kama ilivyokuwa kwa malària
Walianza wale wenzao wa mamlaka ya hali ya hewa, wakisema leo jua linawaka basi yakupasa utembee na mwavuli. Sasa naona na madaktari nao hawataki kupitwa, siku hizi ukipima hawakukosi na UTI. Kama ilivyokuwa kwa malària
and 300 JF-Expert Member Joined Jun 27, 2012 Posts 26,398 Reaction score 36,406 Nov 23, 2018 #103 Pole Dada Hawa