pius mabula
Senior Member
- Jul 2, 2012
- 196
- 26
Pini zake za miaka 10 iliyopita hadi leo utazi-feel tu.....jamaa anajua, sema dah, kimya sana yaani!Huyu jamaa ni soo,ila nasikitika kwamba ni the most underrated mc kwa bongo.Wanaoijua Hiphop tu ndo wanajua ubora wa jamaa,wengi wamemkariri tu Fid Q eti kisa vile vimesemo vyake,hawajui kwamba hiphop ni zaidi ya misemo
Unatisha mzazi, huyu jamaa, dah! sijui yuko wapi sijui....mistari yake ilikuwa full mbolea!!nani amrithi osama ama bush akianguka/
nani amrithi bill gates ubongo wake ukichujuka/
sokoine kaenda zake,
kaibeba roho yake sifa na wasifu wake
aliyeziba pengo labda malaika wake
jiulize cku aki2toka amini dada
je uganda italia japo hakuwa na msada?
huyu jamaa sijui kapotelea wapi dah!
Namkubali sana hasa katika PENGO
Dah, yaani hata kama Chid Benz sijamuona popote akiwa mentioned, huyu kwangu hawezi kosa kwenye Top 3, and my complete list being:
1.Jay Moe
2. Fid Q
3. Chid Benzino
4. Mwana-FA
5. Afande Sele
6. Prof J
7.Ngwair
8. Joh Makin
9. Immam Abbas
10.Langa
Muokozi wa Mitaa ya KatiWashabiki weng wa Hip Hop wa juzi hawawez kumkumbuka mtu kama Imamu Abbas, ni Msanii wangu bora Hip Hop wa miaka yote.
My top 5 list......
1; Fid Q
2; Pros Jay
3; Jay moe
4; Joh Makin
5; Roma
1) Jay Mo
2) Jay Mo
3) Jay Mo
4) Jay Mo
5) Prof Jay
6) Solo Thang
7) Sugu
8) Chief Ramson (Zavara) wa KU Crew,
9) D na K wa mapacha
10) Hashim Dogo
Dah, yaani hata kama Chid Benz sijamuona popote akiwa mentioned, huyu kwangu hawezi kosa kwenye Top 3, and my complete list being:
1.Jay Moe
2. Fid Q
3. Chid Benzino
4. Mwana-FA
5. Afande Sele
6. Prof J
7.Ngwair
8. Joh Makin
9. Immam Abbas
10.Langa
1.Jmo
2.solothang
3.prof j
4.ngwair
5.fid
6.gk
7.kalapina
8.bonta
9.roho7
10.baghdad
Dah, yaani hata kama Chid Benz sijamuona popote akiwa mentioned, huyu kwangu hawezi kosa kwenye Top 3, and my complete list being:
1.Jay Moe
2. Fid Q
3. Chid Benzino
4. Mwana-FA
5. Afande Sele
6. Prof J
7.Ngwair
8. Joh Makin
9. Immam Abbas
10.Langa
mi cfaham bhana! mida km vp!
Hivi Immam Abbas ana nyimbo ngapi? Mi nazijua 2 tu
Washabiki weng wa Hip Hop wa juzi hawawez kumkumbuka mtu kama Imamu Abbas, naikumbuka Mitaa ya Kati. ni Msanii wangu bora Hip Hop wa miaka yote.