Hii ndoto ina maana gani?

Hii ndoto ina maana gani?

kyanyangwe

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2018
Posts
1,275
Reaction score
3,316
Habari za weekend wakuu.
Kuna ndoto nimeiota usiku wa kuamkia leo imenishangaza kidogo na sijaelewa inanipa ishara ya jambo gani nikaona niwaulize humu watu wenye uelewa wa haya mambo ya ndoto.
Iko hivi nimeota ilikua usiku wa giza niko naelekea stand ya bus nikiwa na abiria wenzangu tukiwa tunawahi usafiri,mara ghafla tukiwa tunatembea kuelekea stand ya bus mara umeme ukakatika ,sehemu tuliyokua tunaelekea kulikua kuna kama kijikichaka hivi tunapita then ndio tunatokea stand ya bus, sasa ghafla kwenye kile kichaka tukasikia sauti ya kijana mmoja wa kiume ambae mimi sikua namjua analia kuwa ameng'atwa na nyoka,mara ghafla tena wakatokea vijana wengine wamemshika yule nyoka aliyemuuma yule kijana wa kwanza wakiwa wanatuomba tumsaidie yule kijana aliyeumwa na nyoka.ndoto ikaishia hapo
nikashtuka kutoka usingizini huku nahema hatari.
Je, wakuu hii ndoto ina maana gani kwenye ulimwengu wa roho au niipotezee tu?
 
Habari za weekend wakuu.
Kuna ndoto nimeiota usiku wa kuamkia leo imenishangaza kidogo na sijaelewa inanipa ishara ya jambo gani nikaona niwaulize humu watu wenye uelewa wa haya mambo ya ndoto.
Iko hivi nimeota ilikua usiku wa giza niko naelekea stand ya bus nikiwa na abiria wenzangu tukiwa tunawahi usafiri,mara ghafla tukiwa tunatembea kuelekea stand ya bus mara umeme ukakatika ,sehemu tuliyokua tunaelekea kulikua kuna kama kijikichaka hivi tunapita then ndio tunatokea stand ya bus, sasa ghafla kwenye kile kichaka tukasikia sauti ya kijana mmoja wa kiume ambae mimi sikua namjua analia kuwa ameng'atwa na nyoka,mara ghafla tena wakatokea vijana wengine wamemshika yule nyoka aliyemuuma yule kijana wa kwanza wakiwa wanatuomba tumsaidie yule kijana aliyeumwa na nyoka.ndoto ikaishia hapo
nikashtuka kutoka usingizini huku nahema hatari.
Je, wakuu hii ndoto ina maana gani kwenye ulimwengu wa roho au niipotezee tu?
Huenda ulilala huku ukiwa umemshika Joni wako na kuota nyoka.
 
Tafuta mganga konki akuague.vinginevyo RIP in advance.
 
Habari za weekend wakuu.
Kuna ndoto nimeiota usiku wa kuamkia leo imenishangaza kidogo na sijaelewa inanipa ishara ya jambo gani nikaona niwaulize humu watu wenye uelewa wa haya mambo ya ndoto.
Iko hivi nimeota ilikua usiku wa giza niko naelekea stand ya bus nikiwa na abiria wenzangu tukiwa tunawahi usafiri,mara ghafla tukiwa tunatembea kuelekea stand ya bus mara umeme ukakatika ,sehemu tuliyokua tunaelekea kulikua kuna kama kijikichaka hivi tunapita then ndio tunatokea stand ya bus, sasa ghafla kwenye kile kichaka tukasikia sauti ya kijana mmoja wa kiume ambae mimi sikua namjua analia kuwa ameng'atwa na nyoka,mara ghafla tena wakatokea vijana wengine wamemshika yule nyoka aliyemuuma yule kijana wa kwanza wakiwa wanatuomba tumsaidie yule kijana aliyeumwa na nyoka.ndoto ikaishia hapo
nikashtuka kutoka usingizini huku nahema hatari.
Je, wakuu hii ndoto ina maana gani kwenye ulimwengu wa roho au niipotezee tu?
Ripa madeni ya watu
 
Nyoka tafsri yake ni adui wa sirini.pia inaangaliwa ninyoka waina gani yani langi yake..
Pia hua inahitaji muhusika atoe maelezo mafupi yaani short story yamaisha yake ilikutambua hili tukio nila athari ya kisaikorojia au ni message kutoka ulimwengu wa roho!
Ndoto kwaujumla nikatika mambo complex sana hivo anae tafsiri inabidi awe nautambuzi wakanuni za kutafsiri ndoto vinginevyo utapotosha watu nakuwajaza hofu.
 
Upuuzi mtupu ndoto ni subconsious ya brain, zama za ndoto baada ya Jesus kuja ni upuuzi tu, potezea
 
Habari za weekend wakuu.
Kuna ndoto nimeiota usiku wa kuamkia leo imenishangaza kidogo na sijaelewa inanipa ishara ya jambo gani nikaona niwaulize humu watu wenye uelewa wa haya mambo ya ndoto.
Iko hivi nimeota ilikua usiku wa giza niko naelekea stand ya bus nikiwa na abiria wenzangu tukiwa tunawahi usafiri,mara ghafla tukiwa tunatembea kuelekea stand ya bus mara umeme ukakatika ,sehemu tuliyokua tunaelekea kulikua kuna kama kijikichaka hivi tunapita then ndio tunatokea stand ya bus, sasa ghafla kwenye kile kichaka tukasikia sauti ya kijana mmoja wa kiume ambae mimi sikua namjua analia kuwa ameng'atwa na nyoka,mara ghafla tena wakatokea vijana wengine wamemshika yule nyoka aliyemuuma yule kijana wa kwanza wakiwa wanatuomba tumsaidie yule kijana aliyeumwa na nyoka.ndoto ikaishia hapo
nikashtuka kutoka usingizini huku nahema hatari.
Je, wakuu hii ndoto ina maana gani kwenye ulimwengu wa roho au niipotezee tu?
Maana yake nikwamba umasikini umekushika hadi unaota ndoto za kupanda daradara ..tafuta centi ununue kagari japo uote ndoto umemgonga na gari kada wa ccm na kumuua papohapo kisha makada wenzake wanakukimbiza na baiskeli ila wewe unachenji gia tu na kuwaachia vimbi....
 
Back
Top Bottom