Hii ndoto inaashiria nini, au naumwa??

Hii ndoto inaashiria nini, au naumwa??

Habari wana jamvi. Natumaini nyote mu wazima, mwenzenu mambo si shwari

Mimi tangu utotoni nilikuwa naota napaa angani karibu kila siku. Wakat mwingine niliota nimepaa ili kuvuka mito mikubwa, mashimo au mabonde marefu na hata bahari nk.

Nilipotezea kwa kuwa niliona kawaida maana siku nyingine nilikuwa nikita nawavusha watu mmoja baada ya mwingine kupita sehemu zenye hatari, au kuwakimbia wanyama wakali na watu wabaya. Hali hii imeendelea kunitokea mpaka sasa ukubwani.

Kuna jamaa nilimuuliza maana yake akaniambia nina kipaji cha kuhubiri nikaona hajatoa facts za kutosha nikampuuza. NB: Nilikuwa na mpango wa kuwa padre zaman nikapitia seminari ila nikafukuzwa na nikaona wito sina nikaanza maisha mengine.

KIBOKO IMEKUA LEO. Usiku nimeota napaa angan kama ndege kwa umbali naotaka, cha ajabu nilikuwa na nguvu mpaka nang'oa miti mikubwa bila tatizo, kibaya zaidi nilikua na mwanamke mrembo aliyeonekana kuwa mpenz wangu. Nikawa sivuji damu ata nikiumia
HII NI NINI NDUGU ZANGU? MAANA NIMECHANGANYIKIWA SASA.

Una Mapepo ndiyo yanayokuchua wakati umelala na kuhisi unapaa angani. Na huyo mwanamke uniliyemuona ndotoni kama mpenzi wako ni pepo la kike limekupenda na pia waweota mnagegedena na kuamka asubuhi umechafua night dress na mashuka. Nipigie au ni inbox kwa maelezo zaidi. Pole sana
JINI.jpg
 
Naona mtu wa karibu na sheikh yahaya aliyebaki ni kikwete tu. Nakushauri mpigie simu muulize au mfuate magogoni.

Kikwete angekuwa anatumia tigo angepiga sana kwako....Maana hata kwenye thread ambazo hausiki anatajwa.
 
Kikwete angekuwa anatumia tigo angepiga sana kwako....Maana hata kwenye thread ambazo hausiki anatajwa.
Kwa kweli si kwamba inasikitisha lakini yaonesha watu walivyokuwa na chuki binafsi juu ya mheshimiwa Rais na kumdhihaki hata pale pasipo husika. Huu ndiyo U great thinker au great hatred. Mtu amekuja na issues genuine halafu jamaa anichukua lightly. Your hatred does not lower him as a President, it only pains you, it affects you psychologically and it affects your mental wellbeing and it won't make him cease to be a president or respected human being. On top of that it ruins you and wasting you time to think him negatively.
Hatred is the coward's revenge for being intimidated.” Yaelekea huo ni woga wako kwa mheshimiwa
― George Bernard Shaw
ila hongera sana
The Idiot Test - Final Screen.jpg
 
Usilale mara tu anapomaliza kula angalau kaa kwa lisaa limoja kabla ya kulala,usishibe sana usiku,usitumie vitu vyenye nicotin(sigara) au kahawa,bangi ,pombe na vilevi tofauti tofauti,
 
Habari wana jamvi. Natumaini nyote mu wazima, mwenzenu mambo si shwari

Mimi tangu utotoni nilikuwa naota napaa angani karibu kila siku. Wakat mwingine niliota nimepaa ili kuvuka mito mikubwa, mashimo au mabonde marefu na hata bahari nk.

Nilipotezea kwa kuwa niliona kawaida maana siku nyingine nilikuwa nikita nawavusha watu mmoja baada ya mwingine kupita sehemu zenye hatari, au kuwakimbia wanyama wakali na watu wabaya. Hali hii imeendelea kunitokea mpaka sasa ukubwani.

Kuna jamaa nilimuuliza maana yake akaniambia nina kipaji cha kuhubiri nikaona hajatoa facts za kutosha nikampuuza. NB: Nilikuwa na mpango wa kuwa padre zaman nikapitia seminari ila nikafukuzwa na nikaona wito sina nikaanza maisha mengine.

KIBOKO IMEKUA LEO. Usiku nimeota napaa angan kama ndege kwa umbali naotaka, cha ajabu nilikuwa na nguvu mpaka nang'oa miti mikubwa bila tatizo, kibaya zaidi nilikua na mwanamke mrembo aliyeonekana kuwa mpenz wangu. Nikawa sivuji damu ata nikiumia
HII NI NINI NDUGU ZANGU? MAANA NIMECHANGANYIKIWA SASA.

inaonekana hapo baadae utakuwa mtu mkubwa(muheshimiwa)
 
Back
Top Bottom