Hii ngoma mpya ya lavalava Kali ametisha

Hii ngoma mpya ya lavalava Kali ametisha

Hziyech22

JF-Expert Member
Joined
Jun 8, 2019
Posts
15,351
Reaction score
21,362
Jana ndio ilikuwa Mara yangu ya kwanza nasikia ngoma ya lavalava nilikuwa sijawahi kuitafuta kuisikiliza ila wakati nipo kwenye daladala ndipo ngoma nikaisikia ya Tajiri jamaa latisha Sana kuanzia idea yake mpaka melodies Cha muhimu asiwe anakaa kimya Sana bila kutoa ngoma kwa kipindi hiki Cha sasa si chakutoa ngoma 1 kwa mwaka lazima watu wakusahau.
 
Tatizo watu wamempotezea sana amekaliswa sana benchi hata huko youtube hatrend kabisa anapitwa na wasanii ambao hawapo kweny lebo
 
Tatizo watu wamempotezea sana amekaliswa sana benchi hata huko youtube hatrend kabisa anapitwa na wasanii ambao hawapo kweny lebo
Sio kwamba amekalishwa benchi ni yeye binafsi ndio aliamua label inaingiza hela pale unapotoa ngoma nyingi ndio maana unaona Zuchu, Mbosso wanatoa ngoma nyingi kuliko hata boss wao mwenyewe
 
Back
Top Bottom