Hii ngoma ya Al Hilal na Yanga bado ngumu

Swali.1- kwanini Yanga walishindwa kupata ushindi wakiwa nyumbani wakati wanawashambuliaji wazuri?.

swali 2-baada ya Yanga kuongoza kwa goli moja sababu zipi zilitokea wakashindwa kulinda ushindi wao mpaka Al hilaly wakachomoa?
Al hilal walilinda(2)yanga walitaka kupata ushindi mnono,walau mbili bila
 
Al ahly alimpiga 4 Vita kwake,baada ya Vita kushi 2 Cairo na kuiweka matatani ahly kusonga mbele
 
TUMIA AKILI yanga Inamtegemea FISTON MAYELE PEKE YAKE KWENYE SAFU YA USHAMBULIAJI NDIO AFANYE MIUJIZA.

Akati Simba Ina
Chama.
Okra.
Phiri nk.

No Mayele No UTOPOLO
 
Mashuti ya mbali yatapigwa na Nani? Unadhan Ibenge hajaifatilia Yanga? hajui kama Feitoto ni hatari Kwa kunyoosha mashuti? klab bingwa timu husoma Sana wapinzani kabla ya mechi, maana mpaka kuchukua ubingwa mechi hazifiki 15, mpaka kuchukua ubingwa unakutana na timu sio Zaid ya 10. Ni mechi chache Sana na zinachezwa kimkakati zaid
 
Simba kwa Galaxy alipigwa vizuri tu na wala siyo kuwa alidharau mechi.
 
Usilolijua ni kua kila game ina approach yake tofauti

Ibenge alipokuja kwa Mkapa alikuja na game plan yake na imefaulu kwa asilimia kadhaa kwaio tegemea mchezo wa tofauti kabisa huko Khartoum haitakua sawa na ilivyokua kwa Mkapa
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…