Umeandika vizuri ila Mpira wa Africa hauko Kama ulivyoandika hapa.Mara nyingi mashindano ya kiafrika kila mtu anashinda kwake.Ni ngumu kupindua meza ugenini,labda tu uwe mzembe na kudharau mechi km ile Simba na Galaxy.
Hawa Al hilal hawajaidharau hii gemu yao na yanga.Ibenge anajua yanga Ni hatari na watakuja na nguvu zote maana hawana Cha kupoteza,kwao (yanga) ili wafuzu lazima waweke mpira wavuni.Suluhu ya 0-0 yanga anatoka,so yanga wataenda na mentality ya kutafuta goli,na hapo ibenge ndipo atakapowaadhibu
Kwangu mimi,hata yanga angeshinda moja bill,bado kazi ingekuwa ni nzito Sana kule Khartoum,sembuse matokeo ya 1-1. Wacha tusubiri hiyo jumapili!!
Sent from my CPH1923 using
JamiiForums mobile app