Hii ngumu ila inauma...

Hii ngumu ila inauma...

semmy samson

Member
Joined
Dec 20, 2010
Posts
85
Reaction score
0
:drum:WAUNGWANAEEEEEEEE HERIN YA MWAKA MPYA...............2011

SKIA HIIIII!!!!!!!!!

MPO SAFARINI WEWE NA MAMA YAKO NA MKE WAKO KWENYE MTUMBWI MNAVUKA MTO UPANDE WA PILI MARA GHAFLA GHARIKA LIKATOKEA NA MKABWAGWA KWENYE MAJI, KATIKA KUJARIBU KUJIOKOA UKAJIKUTA WEWE NDIO PEKEE UNAWEZA KUOGELEA, HALAFU MTO WENYEWE UNA MAMBA, MAMA ANAPIGA KELELE MWANANGU NIOKOE NA MKEO NAYE MME WANGU NIOKE, MARA GHAFLA MAMBA NAO HAO WANATIA TIMU NA ATAKAE KUWA WA KWANZA KUOKOLEWA NDIO ATAPONA MAANA UKISEMA UMRUDIE WA PILI TAYARI MAMBA WATAKUWA WAMESHAWASILI,,,,JE UTAANZA KUMUOKOA NANI MKEO AU MAMA.?

MI SIMO..............................
 
:drum:WAUNGWANAEEEEEEEE HERIN YA MWAKA MPYA...............2010

SKIA HIIIII!!!!!!!!!

MPO SAFARINI WEWE NA MAMA YAKO NA MKE WAKO KWENYE MTUMBWI MNAVUKA MTO UPANDE WA PILI MARA GHAFLA GHARIKA LIKATOKEA NA MKABWAGWA KWENYE MAJI, KATIKA KUJARIBU KUJIOKOA UKAJIKUTA WEWE NDIO PEKEE UNAWEZA KUOGELEA, HALAFU MTO WENYEWE UNA MAMBA, MAMA ANAPIGA KELELE MWANANGU NIOKOE NA MKEO NAYE MME WANGU NIOKE, MARA GHAFLA MAMBA NAO HAO WANATIA TIMU NA ATAKAE KUWA WA KWANZA KUOKOLEWA NDIO ATAPONA MAANA UKISEMA UMRUDIE WA PILI TAYARI MAMBA WATAKUWA WAMESHAWASILI,,,,JE UTAANZA KUMUOKOA NANI MKEO AU MAMA.?

MI SIMO..............................

Aliye karibu yako ndio utamuokoa
 
:drum:WAUNGWANAEEEEEEEE HERIN YA MWAKA MPYA...............2010

SKIA HIIIII!!!!!!!!!

MPO SAFARINI WEWE NA MAMA YAKO NA MKE WAKO KWENYE MTUMBWI MNAVUKA MTO UPANDE WA PILI MARA GHAFLA GHARIKA LIKATOKEA NA MKABWAGWA KWENYE MAJI, KATIKA KUJARIBU KUJIOKOA UKAJIKUTA WEWE NDIO PEKEE UNAWEZA KUOGELEA, HALAFU MTO WENYEWE UNA MAMBA, MAMA ANAPIGA KELELE MWANANGU NIOKOE NA MKEO NAYE MME WANGU NIOKE, MARA GHAFLA MAMBA NAO HAO WANATIA TIMU NA ATAKAE KUWA WA KWANZA KUOKOLEWA NDIO ATAPONA MAANA UKISEMA UMRUDIE WA PILI TAYARI MAMBA WATAKUWA WAMESHAWASILI,,,,JE UTAANZA KUMUOKOA NANI MKEO AU MAMA.?

MI SIMO..............................

Sahihisha huu mwaka. Niatarudi badae
 
:drum:WAUNGWANAEEEEEEEE HERIN YA MWAKA MPYA...............2010

SKIA HIIIII!!!!!!!!!

MPO SAFARINI WEWE NA MAMA YAKO NA MKE WAKO KWENYE MTUMBWI MNAVUKA MTO UPANDE WA PILI MARA GHAFLA GHARIKA LIKATOKEA NA MKABWAGWA KWENYE MAJI, KATIKA KUJARIBU KUJIOKOA UKAJIKUTA WEWE NDIO PEKEE UNAWEZA KUOGELEA, HALAFU MTO WENYEWE UNA MAMBA, MAMA ANAPIGA KELELE MWANANGU NIOKOE NA MKEO NAYE MME WANGU NIOKE, MARA GHAFLA MAMBA NAO HAO WANATIA TIMU NA ATAKAE KUWA WA KWANZA KUOKOLEWA NDIO ATAPONA MAANA UKISEMA UMRUDIE WA PILI TAYARI MAMBA WATAKUWA WAMESHAWASILI,,,,JE UTAANZA KUMUOKOA NANI MKEO AU MAMA.?

MI SIMO..............................

Kama wamezewa kupiga kelele, basi watajitahidi kujiokoa.... We rudi upambane na Mamba wasiwafikie wapendwa wako... Bora ufe wewe kwa ajili yao...
 
Kama wamezewa kupiga kelele, basi watajitahidi kujiokoa.... We rudi upambane na Mamba wasiwafikie wapendwa wako... Bora ufe wewe kwa ajili yao...

Askofu swala ni utamuokoa nani kati yao na sio upambane na mamba coz uwezo huo huna we unaweza aidha kujiokoa wewe na mmoja wapo kati yao.
 
Ikitokea nitajua nimuokoe nani.....
 
haya maswali nakumbuka tuliwahi kuyasoma kwenye vile vitabu vya......nini kweli eti ..kumbe bado zipo tu..
 
:drum:WAUNGWANAEEEEEEEE HERIN YA MWAKA MPYA...............2011

SKIA HIIIII!!!!!!!!!

MPO SAFARINI WEWE NA MAMA YAKO NA MKE WAKO KWENYE MTUMBWI MNAVUKA MTO UPANDE WA PILI MARA GHAFLA GHARIKA LIKATOKEA NA MKABWAGWA KWENYE MAJI, KATIKA KUJARIBU KUJIOKOA UKAJIKUTA WEWE NDIO PEKEE UNAWEZA KUOGELEA, HALAFU MTO WENYEWE UNA MAMBA, MAMA ANAPIGA KELELE MWANANGU NIOKOE NA MKEO NAYE MME WANGU NIOKE, MARA GHAFLA MAMBA NAO HAO WANATIA TIMU NA ATAKAE KUWA WA KWANZA KUOKOLEWA NDIO ATAPONA MAANA UKISEMA UMRUDIE WA PILI TAYARI MAMBA WATAKUWA WAMESHAWASILI,,,,JE UTAANZA KUMUOKOA NANI MKEO AU MAMA.?

MI SIMO..............................

uzuri wa jf hatujuani, so wife atanisamehe..by the way hatajua...
mm napiga chini wife...watu wanaoa na kuacha hata mara alfu, ila mama mzazi ndo huyo tuu...akifa sitakuwa na mama mzazi mwingine kamwe..ila wife akifa leo naanua tanga after few days then naoa mwingine..life goes on..mama ni mama na hakuna kama mama..mama namuokoa wife liwa na mamba..am sorry my wife!!
 
Kulikuwa na wimbo miaka ya nyuma uliuliza swali kama hili. Katika wimbo huo Njemba kama nakumbuka vizuri alikuwa na Wazazi wake wote wawili, Mke na mtoto. Kisha wakatunga mwimbo mwingine kujibu swali lao. Na jibu lao lilikuwa Baba na Mama wamekula chumvi nyingi , hivyo muokoe mkeo ambaye atakuzalia watoto wengine kwa maana hiyo na mwanao pia umuache apotee majini. Sijui kama wengi watakubaliana na jibu hili. Vyovyote utakavyoamua utabaki na majonzi ya hali ya juu for the rest of your life.
 
:drum:WAUNGWANAEEEEEEEE HERIN YA MWAKA MPYA...............2011

SKIA HIIIII!!!!!!!!!

MPO SAFARINI WEWE NA MAMA YAKO NA MKE WAKO KWENYE MTUMBWI MNAVUKA MTO UPANDE WA PILI MARA GHAFLA GHARIKA LIKATOKEA NA MKABWAGWA KWENYE MAJI, KATIKA KUJARIBU KUJIOKOA UKAJIKUTA WEWE NDIO PEKEE UNAWEZA KUOGELEA, HALAFU MTO WENYEWE UNA MAMBA, MAMA ANAPIGA KELELE MWANANGU NIOKOE NA MKEO NAYE MME WANGU NIOKE, MARA GHAFLA MAMBA NAO HAO WANATIA TIMU NA ATAKAE KUWA WA KWANZA KUOKOLEWA NDIO ATAPONA MAANA UKISEMA UMRUDIE WA PILI TAYARI MAMBA WATAKUWA WAMESHAWASILI,,,,JE UTAANZA KUMUOKOA NANI MKEO AU MAMA.?

MI SIMO..............................
Hapo pagumu sana especially kama wife wako mnaelewana sana ila kama mnaishi bora siku ziende utakuta unaelekea zaidi upande wa mama. Maana ktk situation kama hiyo, you become faithful to yourself, you listen to your heart.
 
Hapo pagumu sana especially kama wife wako mnaelewana sana ila kama mnaishi bora siku ziende utakuta unaelekea zaidi upande wa mama. Maana ktk situation kama hiyo, you become faithful to yourself, you listen to your heart.

Kwa mfano mimi wife wangu aliyenicheat juzi kati kwa kutembea na rafiki yangu, obviously nitaegemea upande wa mama yangu mzazi. Hata sitachukua muda mrefu kudecide.
 
Kulikuwa na wimbo miaka ya nyuma uliuliza swali kama hili. Katika wimbo huo Njemba kama nakumbuka vizuri alikuwa na Wazazi wake wote wawili, Mke na mtoto. Kisha wakatunga mwimbo mwingine kujibu swali lao. Na jibu lao lilikuwa Baba na Mama wamekula chumvi nyingi , hivyo muokoe mkeo ambaye atakuzalia watoto wengine kwa maana hiyo na mwanao pia umuache apotee majini. Sijui kama wengi watakubaliana na jibu hili. Vyovyote utakavyoamua utabaki na majonzi ya hali ya juu for the rest of your life.
Wa o, wa o, wa o, tumekumiss Bubu Ataka Kusema ulikuwa wapi?
 
Wa o, wa o, wa o, tumekumiss Bubu Ataka Kusema ulikuwa wapi?


Nilikuwa nasukuma gurudumu la maendeleo la nchi yetu ili kulifikisha kule kileleni :yo:
 
Ni sawa kama ni mama basi nitamuokoa yeye na kama ni wife pia sawa.
Katika mpangilio wa kuhesabu namba huwezi kuanza na 2 lazima utaanza na 1, kwa hiyo namba moja ni yule aliye karibu yako ndiye utakayeanza naye,
Mfano wewe upo umbali wa mita 2 na mke wako halafu mama yako yuko mbali zaidi kama mita 5, hapa lazima utaanza na aliye jirani kabisa. Ukisema umpita halafu ukaanze na yule wa umbali wa mita 5 si hata huyu wa mita 2 atakushangaa?
 
Back
Top Bottom