Mkuu why unganishe wanawake wote kwa mpuuzi mmoja.Siku watasema wanawake wote hakuna kuvaa nguo dunia nzima utashangaa wakipinga ni udhalilishaji lakini hapo anajidhalilisha hamna anaekemea.... Wanawake bhana
Umeua aisee,hata mm nakula jioni hadi jioni tena.Huyu nahisi sintotumia ndom
Iko bomba sana hiyo QumerSura yenyewe hana. Pozi gani hilo ka anameza chura?. Kinachombemba hapo zaidi kutangaza uchi ni ngozi aliyoipruni kama akunywa acidi
Sent using Jamii Forums mobile app
Dah mkuu yani unajazba yani hizi athari za kuzulumiwa Korosho na Jiwehebu na wewe tuonyeshe mat.ako yako ili tufananishe na hudda tuone yapi yamenona
Ni shigidi bablaiMlioona nguo kwenye picha iyo naomba mnioneshe. Nimejaribu kuangalia pembeni hata dekio sijaliona
Sent using unknown device
hahahahaaa nimeshalipwa last wiki hapa sina presha ya pasaka,ije hata keshoDah mkuu yani unajazba yani hizi athari za kuzulumiwa Korosho na Jiwe
Dah!Nimerudi kuunga juhudi...
[emoji8]