Hii nguo ya Huddah inatia kinyaa

Siku watasema wanawake wote hakuna kuvaa nguo dunia nzima utashangaa wakipinga ni udhalilishaji lakini hapo anajidhalilisha hamna anaekemea.... Wanawake bhana
Mkuu why unganishe wanawake wote kwa mpuuzi mmoja.
 
Sura yenyewe hana. Pozi gani hilo ka anameza chura?. Kinachombemba hapo zaidi kutangaza uchi ni ngozi aliyoipruni kama akunywa acidi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mi nimeishia kuona neti tu[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787][emoji1787][emoji1787]

ᵂᵒʳʳʸ ⁱˢ ᵃ ʷᵒʳᵈ ᵗʰᵃᵗ ᴵ ᵈᵒⁿᵗ ᵃˡˡᵒʷ ᵐʸˢᵉˡᶠ ᵗᵒ ᵘˢᵉ✓
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…