Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwahiyo simba hajawahi kubebwa na waamuzi? Kumbe GSM ni matajiri kiasi hichi mbona tunaambiwa wana utajiri wa magodoro tu?Aragija alifungiwa akapata msamaha kwa hisani ya gsm akaja kulipa fadhila
UongoWaamuzi wa bongo wanakumbwa na shida kuu 2:
1. Lugha
2. Connection
Mshamba mmoja huyoEti anamuiga Corina.
SawaUongo
Mbona hamumtaji Tatu MwalongoAragija alifungiwa akapata msamaha kwa hisani ya gsm akaja kulipa fadhila
Pamoja na usimba na Yanga lugha nayo ni changamoto.Kwenye World Cup ya wanawake mwaka jana kulikuwa na marefarii kutoka Rwanda na Kenya siyo Tanzania.
Uchezashaji wa kikanjanja ambao unapendelea Yanga na Simba umesababisha Tanzania ikose Mwamuzi hata mmja kati ya 11 waliochaguliwa.
Just imagine hakuna hata raiseman.
View: https://www.instagram.com/p/C1gxbV1vLpS/?igsh=NmJiYWZiY2E0Mg==
My Take
Waamuzi wa Tanzania mtaendelea kuwa wajinga Kwa sababu ya Simba na Yanga.
Du! Mkuu sasa wewe unataka hao hao waamuzi wa mchongo waendelee kutuharibia mechi badala ya kuagiza waamuzi kutoka Ulaya?Safi sana, halafu kuna wapumbavu wanataka mechi za simba na Yanga zichezeshwe na refa kutoka nje ya nchi. Tuendelee kupambana na hawa wahuni wetu tunaowaita marefu wa Tz
Kwahy hua wanaharibu mechi ya simba vs Yanga tuu.?Du! Mkuu sasa wewe unataka hao hao waamuzi wa mchongo waendelee kutuharibia mechi badala ya kuagiza waamuzi kutoka Ulaya?
Wanaharibu zote ila mechi ya Yanga na Simba ni rahisi kununuliwa na Yanga na kuharibu ladha ya mechi.Kwahy hua wanaharibu mechi ya simba vs Yanga tuu.?