Mm mwenyewe kodi yangu inaisha october[emoji2][emoji2]ateseke na hilooJamaa anateseka Sana mtu akidaiwa Kodi[emoji1787][emoji1787]View attachment 1942644
Maskiini dah[emoji86]Kutoka Maktaba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]View attachment 1942649
Ohoo kumbe alifikia kwa shemejiKutoka Maktaba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]View attachment 1942649
Mtoa mada ana frustrations[emoji4]Mm mwenyewe kodi yangu inaisha october[emoji2][emoji2]ateseke na hiloo
Hamna kitu pale....Ohoo kumbe alifikia kwa shemeji
[emoji17]Maskiini dah[emoji86]
Ni wa kuonewa huruma tu, si kwa stress hizo[emoji1787][emoji1787]Mtoa mada ana frustrations[emoji4]View attachment 1942704
Mtoa mada MDA huu[emoji17]Ni wa kuonewa huruma tu, si kwa stress hizo[emoji1787][emoji1787]
so its true mmelipwa eeh?
Unastahili kupata nishani ya juu ya kusagia kunguniNasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi
Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli [emoji853] Ndo Msanii wenu huyo
Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki
Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu
Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)
Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa
Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee
Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa
Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi
Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda
Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)
[emoji625]Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Na kuflash choo wapi na wapi?! Hajaacha asili yake!Mmakonde ni mmakonde tu!!!
Ukisikiliza vizuri kabisa swala sio kodi ingawa hawa kina Maimartha wamesema kodi ila huyo mzee anataka nyumba yake ikarabatiwe kwa madai kuwa Harmonize kaiharibu tofauti na alivyompangisha. Hivyo anadai kaita contractors watatu tofauti na gharama zimekuja hiyo milioni 150Nimetizama kiclip nimeona anadaiwa mil 150, wakati kodi ni dola 800 kwa mwezi, sasa najiuliza 150m na Dolla 800 nahisi kama hamna uwiano na mda alio ishi hapo.
Ila Ok acha tuone mahakama zipo, mzee aende huko,huku ICU sizani kama watamsaidia as long ana nyaraka aende akadai hela yake kwa pilato.
Okay sasa aende mahakamani sio kulialia kwenye TV.Ukisikiliza vizuri kabisa swala sio kodi ingawa hawa kina Maimartha wamesema kodi ila huyo mzee anataka nyumba yake ikarabatiwe kwa madai kuwa Harmonize kaiharibu tofauti na alivyompangisha. Hivyo anadai kaita contractors watatu tofauti na gharama zimekuja hiyo milioni 150