Hii ni aibu kubwa sana kwa Harmonize

Hii ni aibu kubwa sana kwa Harmonize

Mm mwenyewe kodi yangu inaisha october[emoji2][emoji2]ateseke na hiloo
Mtoa mada ana frustrations[emoji4]
IMG_20210917_175217.jpg
 
Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Harmonize kwa Kujimwambafai Instagram aha Anaongoza ila in Real life ni anasikitisha hivi kweli Msanii anashindwa kuclear rent anayodaiwa na mwenye nyumba yake yaani analeta Ustar hadi kwenye Kulipa Kodi

Amehama kwenye nyumba akaacha Kuchafu Kupo Hovyo na Kibaya Zaidi Hata kuflash Choo kweli [emoji853] Ndo Msanii wenu huyo

Bill za Maji tu KASHINDWa kuclear Mwenye Nyumba anampgia simu Kumuita ana ignore anajikuta Star wakati hata Kibanda cha kuku hamiliki

Huyu Dogo Ustar unampa Uchizi anajiona hakuna kama yeye na hamna wa kumwambia kitu

Kitu Anachojua ni Kuwalipa Kina Carrymastory, Jaymaudaku Hili Wampromote 24hrs Wamsifie hata Visivyostahili kusifiwa ila Kodi anashindwa kulipa
RickMedia(Hadi gari alimnunulia RickMedia hili awe anampost yeye tu na asiwapost wasafi ila mashart yakamshinda harmo akabeba gari lake)

Ila Harmonize ni Msanii Mwenye Dharau sana tena Dharau za Kishamba
Kutwa kujimwambafai Instagram ila hana lolote ananunua Cheni Kama Toch Wakati Kodi Kashindwa kulipa

Nimemuonea sana huruma Mwenye nyumba tena anaonekana ni Mzee mstaarabu ila hadi ameenda icu Jua yamemshinda isee

Ila Wenye Nyumba Wajifunze Msiwapangishie Hawa Wasani hawana lolote zaidi ya Majina Makubwa bila Faida yeyote Useless Kabisaa


Harmo alipe Kodi aache kutuibisha Mashabiki Wake Yeye si Msanii number Moja anashindwaje kulipa Kodi


Wacha Wanigeria Watukimbize cz Wasanii wetu Asilimia Kubwa akili hawana Elimu hawana wanaotea tu kwenye ustar unawachanganya wanajiona hakuna kama wao Wakati kulipa kodi kunawashinda


Ndo maana playlist yangu nyimbo zote za nje hawa Wasanii wa bongo hamna kitu ni Makelele tu na Kujimwambafai Instagram (Instagram inafanya kila mtu anaonekana tajiri while in real life shida tupu)



[emoji625]Note: Mimi Sio Shabiki Mandazi kutetea hata ambavyo havifai kutetewa kisa kumtetea Msanii that is totally stupidity
Unastahili kupata nishani ya juu ya kusagia kunguni
 
Nimetizama kiclip nimeona anadaiwa mil 150, wakati kodi ni dola 800 kwa mwezi, sasa najiuliza 150m na Dolla 800 nahisi kama hamna uwiano na mda alio ishi hapo.

Ila Ok acha tuone mahakama zipo, mzee aende huko,huku ICU sizani kama watamsaidia as long ana nyaraka aende akadai hela yake kwa pilato.
 
Nimetizama kiclip nimeona anadaiwa mil 150, wakati kodi ni dola 800 kwa mwezi, sasa najiuliza 150m na Dolla 800 nahisi kama hamna uwiano na mda alio ishi hapo.

Ila Ok acha tuone mahakama zipo, mzee aende huko,huku ICU sizani kama watamsaidia as long ana nyaraka aende akadai hela yake kwa pilato.
Ukisikiliza vizuri kabisa swala sio kodi ingawa hawa kina Maimartha wamesema kodi ila huyo mzee anataka nyumba yake ikarabatiwe kwa madai kuwa Harmonize kaiharibu tofauti na alivyompangisha. Hivyo anadai kaita contractors watatu tofauti na gharama zimekuja hiyo milioni 150
 
Yule mmakonde naye kavu sana, sasa mpaka KY Jerry jaacha ndani ameshindwa jutupa kwenye dustbin?
 
Hivi kuna celebrity bongo ambae anamiliki nyumba kweli maana msanii wa bongo akifulia au kuugua sana ama kufariki mengi yanaibuka hata unakuta bima ya afya ya elfu 50 na mia 4 kwa mwaka hajawahi miliki. Hivi tukisema hawa wasanii wengi wanaishi kwa masharti ya sangoma tunakosea kweli??????
 
Ukisikiliza vizuri kabisa swala sio kodi ingawa hawa kina Maimartha wamesema kodi ila huyo mzee anataka nyumba yake ikarabatiwe kwa madai kuwa Harmonize kaiharibu tofauti na alivyompangisha. Hivyo anadai kaita contractors watatu tofauti na gharama zimekuja hiyo milioni 150
Okay sasa aende mahakamani sio kulialia kwenye TV.
 
Back
Top Bottom