DeepPond
JF-Expert Member
- Nov 18, 2017
- 41,728
- 103,997
[emoji1787][emoji1787]
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji1787][emoji1787]
Hiyo ni nyumba yenu ya urithi ?Nasema tena hii ni Aibu kubwa sana kwa Harmonize Waliobahatika Kuangalia ICU leo watanielewa
Hiyo ni nyumba yenu ya urithi ?
Mbona unetaharuki kiasi hicho
Kutoka Maktaba[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji116]View attachment 1942649
Kijana wa hovyoGo to hell
Niko dodoma hapa nimepanga uswahilini mkuu. Kuliko nyumba iote vichugu si nikakae hapo ata nifekee fekee nyasiNa mimi nimeona nimesikitika sana ila ukiwa mwenye nyumba ndo unaweza kuelewa kwanini watu tumeamua nyumba zibaki magofu bila watu. Kadhia niliyoipata kupangisha nyumba Dodoma ilinifanya heri nibaki maskini jeuri kuliko kuwa na wapangaji.
Mpangaji wakati anatoka anakuibia vitanda, magodoro na bado anakutukana mpaka matusi ya nguoni. Heri nibaki na nyumba bila mpangaji kuliko mateso kama ya huyo wa Harmoniser.
Hii ni kutuzalilishaTUELEWANE KIDOGO...
Hamna alie hapa kukana au kuthibitisha tuhuma dhidi ya HARMONIZE.
Klichotukera ni Kitendo Cha uyu mwanaume mwenzetu kujihusisha na vitendo vilivyo kinyume na jinsia yake[emoji3525]View attachment 1942651
Punguzeni mizaha jamani[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] mtoa mada ni trainer wa watumishi wa uma.Mtoa mada: Mzee Have no time to argue with you Kesho Naenda kufanya Training Kwa Watumishi wa Umma Derm house Makumbusho.....View attachment 1942600
Hana nyumba. Alianza kujenga sijui Madale sijui wapi.. ila hakumaliza na mlinzi hajalipwa mshahara miezi 7.Yani na usanii wote huo asiwe na nyumba hata ya 50M,huo ni uong