Hii ni aibu kwa polisi:Hadi leo hamna camera ktk operation?hata tukio mliloplay role hamna picha?

Hii ni aibu kwa polisi:Hadi leo hamna camera ktk operation?hata tukio mliloplay role hamna picha?

Nicholas

JF-Expert Member
Joined
Mar 7, 2006
Posts
25,260
Reaction score
7,204
Hii ni aibu, jeshi la polisi halina camera?Bado wana ujasiri wa kuwataka waathirika walete picture?sasa km askari watategema hadi lini picture za waadhirika kuwaadhibu askari wake wanaingia ktk ukatili?


Waht if ushahidi huo anao mtuhumiwa?what if umepikwa.Hii ni aibu kwa jeshi letu..tena bila aibu wanadai picture kwa nguvu katika tukio wao wenyewe walikuwepo karibu kabisa?jamani badilikeni kidogo..Polisi walipaswa takiwa toa ushadi kwani wamekiri walikuwa karibu sana na mhalifu n awao pia waliua...si sheria kw apolisi kupiha risasi za moto ktk tukio linaloweza thibitiwa kwa mabomu ya machozi na maji ya kuwasha.

Ni huku kukosa kupiga picture ndipo kunawafanya polisi wasijutie sana mambo wayafanyayo kwa vile hawawezi zi replay video na kutazama photos.wangekuwa wanatzama walichokuwa wakifany wangepata huruma na huzuni hasa wakikuta wanateseka watoto wao ,wa ndugu zao, mama zao, na hata magari yao yakiharibiwa na wenzao bila huruma.

Kwanini polisi wang`nganie ushahidi wa watu wengie wakati na wao wanao wa kwao ambao si lazima ulingane na huo?Nani kawaambia watuhumiwa na washitaki wanatakiwa wasynchronize ushahidi?Si utakuwa ni ushahidi wa kupanga?

Tunaomba polisi muanze kuwa professional..
 
Polisi ndio walihusika na mauaji, ndio maana hawakuweza kujirecord wenyewe! Nyoka atazame mkia wake kisha auume? Haiwezekani!!
 
Mara kadhaa matukio yakitoa polisi hukurupuka na kusema kuwa wamepeleka kikosi maalumu cha makachero waliobobea ili kuongeza nguvu.Huwa najiuliza lini polisi wameanza sahau kuwa maafisa wao wengi, wamefikia hapo kwa kubambikizia watu kesi, kuua watu wasio sahihi na baadae kuwata majambazi sugu....sijui mtego wa polisi uliwanasa kabl ya tukio na hivyo walipoona polisi wakaanza rushiana risasi kwa masaa sijui 8 hadi poliis kuwazidi na kuwaua.

Kwa matambo haya ni wazi kuwa polisi wakuu wameshasahau njia zilizwafikisha hapo.Sasa dunia imekwenda mbalia zaidi kuna wengi wana ukachero mzuri na wa haraka zaidi.Polisi bado wanakwenda ktk matukio kwa fujo na kurudi na report za kuchekesha.

Ni wakati sasa polisi wajue kuwa jeshi yao limefikia ktk saturated point, na sasa watu wote waliokuwa wanapandishwa kwa matukio ya kupika sasa ndio wamejaa pale juu na hivyo kinachoendelea ni sanaa na ubabaishaji tupu.N ahii si kwa jeshi tuu, hata serikali ya CCM sasa hivi in amkusanyiko mkubwa sana wababaishaji na wapikajiw a matukio na rushwa ndio wape pale juu.
 
police na camera?

Teh teh...umeshangaa hadi nikaogopa?Wenzao nchi nyingine zipo ktk magari ktk mwili na kwingine aksri watembeao wenyewe hupigwa picture wakiwa ndani, nje ya gari pande zote.Na hii huwasaidia kupata picture za ajali,kuvamiwa askari, askari kumiza watu, na hata matukio mengine kadiri anavyoingia ktk mitaa.
 
Napata kichaa na kuamini usanii umefikisha watu ktk nafsi zisizo hitaji usanii?Sasa polisi mmeshindwa chuku ushahidi wa kitu mlicchokiona na kushiriki, je ingekuwa hampo ingekuweje?

Sasa tutaamini vipi shuhuda mziwasilishazo mahakamani?
 
hivi hawa polis hawaangaliagi vipindi kama vile battle field, killing zone, mission wakapata weledi kidogo?! tatizo lao wakipata mishahara mbio kununua sabufa seapiano mchina sauti mpaka mwisho, badilikeni bas hata dstv mnajichanga kimtindo
 
hivi hawa polis hawaangaliagi vipindi kama vile battle field, killing zone, mission wakapata weledi kidogo?! tatizo lao wakipata mishahara mbio kununua sabufa seapiano mchina sauti mpaka mwisho, badilikeni bas hata dstv mnajichanga kimtindo

Teh teh teh teh, nimecheka mpaka mshikaji kaamka hapa! Umenikumbusha nilipopata boom langu la kwanza chuo nilienda kununua woofer hiyo ya seapiano, ilikua inakita kinoma! Police wetu hawana exposure kabisa.
 
[h=2]Polisi mnashindwa chukua ushahidi ktk tukio mliloshuhudia ,ingekuweje msingeshuhudia?Bado nashindwa pata picture.Hawa jamaa si ndio wanatakiwa chuku ushahidi ktk tukio?[/h]
 
[h=2]Polisi mnashindwa chukua ushahidi ktk tukio mliloshuhudia ,ingekuweje msingeshuhudia?Bado nashindwa pata picture.Hawa jamaa si ndio wanatakiwa chuku ushahidi ktk tukio?[/h]
 
Mara kadhaa matukio yakitoa polisi hukurupuka na kusema kuwa wamepeleka kikosi maalumu cha makachero waliobobea ili kuongeza nguvu.Huwa najiuliza lini polisi wameanza sahau kuwa maafisa wao wengi, wamefikia hapo kwa kubambikizia watu kesi, kuua watu wasio sahihi na baadae kuwata majambazi sugu....sijui mtego wa polisi uliwanasa kabl ya tukio na hivyo walipoona polisi wakaanza rushiana risasi kwa masaa sijui 8 hadi poliis kuwazidi na kuwaua.

Kwa matambo haya ni wazi kuwa polisi wakuu wameshasahau njia zilizwafikisha hapo.Sasa dunia imekwenda mbalia zaidi kuna wengi wana ukachero mzuri na wa haraka zaidi.Polisi bado wanakwenda ktk matukio kwa fujo na kurudi na report za kuchekesha.

Ni wakati sasa polisi wajue kuwa jeshi yao limefikia ktk saturated point, na sasa watu wote waliokuwa wanapandishwa kwa matukio ya kupika sasa ndio wamejaa pale juu na hivyo kinachoendelea ni sanaa na ubabaishaji tupu.N ahii si kwa jeshi tuu, hata serikali ya CCM sasa hivi in amkusanyiko mkubwa sana wababaishaji na wapikajiw a matukio na rushwa ndio wape pale juu.

mods hii haikupaswa kuwepo hapa.Tutafanyaje?ifanyieni haki muirujishe kuwa huru.Hii ni kuwakumbusha polisi mfumo mzima wao.Ya juu ni ukosefu wa kamera ktk tukio hasa la arusha.zina diverge by far.

CC:

 
Wakuu JF, Amani iwe nanyi.

Inaonekana Jeshi La Polisi lime Stuck Kabisa Katika Kupeleleza Tukio Bomu la Soweto kwenye Mkutano wa CHADEMA.
Inaonekana kama vile Polisi wana Rely zaid na Ushahidi ambao CHADEMA Wamesema wanao na Hawtaki Kuukabidhi Polisi.
CHADEMA Wamesema kuwa wako Tayari Kuwasilisha Ushahidi wao kwa tume Huru ya Ki Jaji.

Hapa RPC Arusha anaoneka Dhahiri Kuwa Giza totoro liko Mbele ya Polisi Juu ya Hili Suala.

Quote From Mwananchi

Akizungumza na waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema polisi inawasiliana na wanasheria kutafuta ushauri wa hatua za kuchukua... “Polisi ndiyo wenye jukumu la kuchunguza na kukusanya ushahidi wote kuhusiana na matukio ya uhalifu. Hili ni jukumu la kisheria la polisi. Chadema wakabidhi ushahidi wao badala ya kupiga danadana ya kutaka tume huru ya uchunguzi ya kimahakama.”

Anahangaika na Ushahidi wa CHADEMA ilhali Polisi wana Weledi wao wa Kuchunguza Matukio.
Mbona hatuwaikii wakihangaika na Ushahidi wa Mwigulu na Nape Kuwa CHADEMA wamejipiga Bomu wenyewe.


Kauli ya Pinda Jana Bungeni imedhihirisha Hilo

Quote Kauli ya Pinda

Ninyi wote ni mashahidi. Chadema waliposhinda hapa, wao walikuja waziwazi, wakasema tutahakikisha nchi hii haitawaliki. Sasa, inawezekana pengine ndiyo mwendelezo wa utekelezaji wa kauli hizo.

My Take
CHADEMA Wamelishika Pabaya Sana Jeshi letu la Polisi.
 
Nilipenda sana ukiri wa Pinda kuwa CHADEMA ilishinda uchaguzi wa 2010. Hivyo kutokutawalika kwa nchi sio makosa ya CHADEMA kwani aliyechakachua na kung'ang'ania madaraka ndio mwenye makosa. Get real Pinda nchi imewashinda majambazi wakubwa nyie!
 
Wakuu JF, Amani iwe nanyi.

Inaonekana Jeshi La Polisi lime Stuck Kabisa Katika Kupeleleza Tukio Bomu la Soweto kwenye Mkutano wa CHADEMA.
Inaonekana kama vile Polisi wana Rely zaid na Ushahidi ambao CHADEMA Wamesema wanao na Hawtaki Kuukabidhi Polisi.
CHADEMA Wamesema kuwa wako Tayari Kuwasilisha Ushahidi wao kwa tume Huru ya Ki Jaji.

Hapa RPC Arusha anaoneka Dhahiri Kuwa Giza totoro liko Mbele ya Polisi Juu ya Hili Suala.

Quote From Mwananchi



Anahangaika na Ushahidi wa CHADEMA ilhali Polisi wana Weledi wao wa Kuchunguza Matukio.
Mbona hatuwaikii wakihangaika na Ushahidi wa Mwigulu na Nape Kuwa CHADEMA wamejipiga Bomu wenyewe.


Kauli ya Pinda Jana Bungeni imedhihirisha Hilo

Quote Kauli ya Pinda



My Take
CHADEMA Wamelishika Pabaya Sana Jeshi letu la Polisi.

WAKUU salaam. Hii yangu ni TAFAKURI tu. CHADEMA walimsema katibu mkuu wa MAGAMBA kuwa ni jangili (shifter). Katibu huyu anatoka ARUSHA mjini. Katibu ana aili ya Somalia walipo Al-Shabab. Al-Shabab ni magaidi na wana mabomu ya kila aina huenda hata ya kichina. Arusha yamelipuka mabomu takribani matatu sasa. Moja alinuizwa Sheikh, lingine kanisani na juzi juzi CHADEMA. Je Nepi ni yupi anayetakiwa kufuatikliwa kwa karibu na kamanda Chagonjwa?
 
Ninyi wote ni mashahidi. Chadema waliposhinda hapa, wao walikuja waziwazi, wakasema tutahakikisha nchi hii haitawaliki.

Sasa si muwape nchi Chadema ili nchi itawalike jamani......kha!
 
Kwani tangu lini tukawa na polisi zaidi ya waramba nyayo za viatu vya Mwigulu?
 
Akizungumza na waandishi wa habari jana Kamanda wa Polisi Mkoa wa Arusha, Liberatus Sabas alisema polisi inawasiliana na wanasheria kutafuta ushauri wa hatua za kuchukua... "Polisi ndiyo wenye jukumu la kuchunguza na kukusanya ushahidi wote kuhusiana na matukio ya uhalifu. Hili ni jukumu la kisheria la polisi. Chadema wakabidhi ushahidi wao badala ya kupiga danadana ya kutaka tume huru ya uchunguzi ya kimahakama."

Alisema hata ikiundwa tume, bado jukumu la kuchunguza na kukusanya ushahidi litarejeshwa mikononi mwa polisi, hivyo Chadema wanapaswa kutimiza wajibu wa kusaidia uchunguzi kwa kuwasilisha ushahidi wao wa polisi kuhusika katika tukio la bomu.

Mbona Huyu anatofautiana na Chagonja.
Chagonja anadai kuwa Mbowe amesema hana Ushahidi wakati RPC nasema kuwa wanawasiliana na wana Sheria kuona Namna ya Kumlzimisha Mbowe Kuutoa huo Ushahidi ambao amsema watauotoa tu Mbele ya Tume ya Ki Jaji
This is tooo low kwa Jsehi la Polisi
 
polisi na camera? wala hawaitaki hata kidogo, itarekodi tukio halafu wajifunge wenyewe! kumbuka imedaiwa humu kuwa mawasiliano yalikatwa kwa saa nzima, nusu saa kabla ya tukio na nusu saa baada ya tukio. kama hawakutaka hata mawasiliano yafanyike, camera ndio wataipenda?!
 
WAKUU salaam. Hii yangu ni TAFAKURI tu. CHADEMA walimsema katibu mkuu wa MAGAMBA kuwa ni jangili (shifter). Katibu huyu anatoka ARUSHA mjini. Katibu ana aili ya Somalia walipo Al-Shabab. Al-Shabab ni magaidi na wana mabomu ya kila aina huenda hata ya kichina. Arusha yamelipuka mabomu takribani matatu sasa. Moja alinuizwa Sheikh, lingine kanisani na juzi juzi CHADEMA. Je Nepi ni yupi anayetakiwa kufuatikliwa kwa karibu na kamanda Chagonjwa?

hiyo waambie polisi kwani hata wangekuwa hao polisi watalaumiwa kwa kushida foreseen.Intelligensia yao ni kwa CDM TUU?
 
hivi hawa polis hawaangaliagi vipindi kama vile battle field, killing zone, mission wakapata weledi kidogo?! tatizo lao wakipata mishahara mbio kununua sabufa seapiano mchina sauti mpaka mwisho, badilikeni bas hata dstv mnajichanga kimtindo

Unishangaza sana unaposema sijui huwa wakipata pesa wanaishia kununu sabufa au seapiano?kati ya watu wazuri na wafuatiliaji wazuri wa movie ama drama zote zinaxohusiana mapigano ya aina yoyote ya silaha ama ya ngumi pia kati ya watu wanaofuatilia movie za kipelelezi si wengine ni polisi.Tatizo lako wewe au wenu mnapenda kuchukulia juu juu utafikilia umetoka usingizini?unauhakikka polisi hawana camera?unauhakika hilo tukio halijarekodiwa punguza kuongelea kitu usichokifahamu.Acha polisi waitwi polisi sio wajinga kama ulivyo wewe?Polisi wako vizuri hakuna kitu wasichokijua kinachohusiana na upolisi duniani.
 
Back
Top Bottom