Hii ni aibu kwa polisi:Hadi leo hamna camera ktk operation?hata tukio mliloplay role hamna picha?

Hii ni aibu kwa polisi:Hadi leo hamna camera ktk operation?hata tukio mliloplay role hamna picha?

Unishangaza sana unaposema sijui huwa wakipata pesa wanaishia kununu sabufa au seapiano?kati ya watu wazuri na wafuatiliaji wazuri wa movie ama drama zote zinaxohusiana mapigano ya aina yoyote ya silaha ama ya ngumi pia kati ya watu wanaofuatilia movie za kipelelezi si wengine ni polisi.Tatizo lako wewe au wenu mnapenda kuchukulia juu juu utafikilia umetoka usingizini?unauhakikka polisi hawana camera?unauhakika hilo tukio halijarekodiwa punguza kuongelea kitu usichokifahamu.Acha polisi waitwi polisi sio wajinga kama ulivyo wewe?Polisi wako vizuri hakuna kitu wasichokijua kinachohusiana na upolisi duniani.

Sasa mbona walishindwa jua adui halisi, na bado hawajaweza chukua ushahidi hata wa tukio walilolishuhudia wenyewe?
 
polisi na camera? wala hawaitaki hata kidogo, itarekodi tukio halafu wajifunge wenyewe! kumbuka imedaiwa humu kuwa mawasiliano yalikatwa kwa saa nzima, nusu saa kabla ya tukio na nusu saa baada ya tukio. kama hawakutaka hata mawasiliano yafanyike, camera ndio wataipenda?!

najiuliza kwanini walikuwa wakitaka lipua tank?ili waseme kuwa CDM walisheheni mzigo..so walitaka hadi fire wasije ili wachochee moto na mabomu yao..?wabunge wa CDM waliokuw ana bastola wangechapa huyo mtupa bomu ya kiuno.
 
Back
Top Bottom