Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hawajaamka kufungua.Bado wanaandaa kahawa ndani.Maduka chini yamefungwa au wako kwenye process ya ku demolishe?
Hawabahatishi.Siyo kama yale ya Kariakoo yaliyowaswekwa mkurugenzi na injinia lupango.😝😝😝😝Nimependa msingi ni imara sana
Lazima itakuwa hivyo.Na chini yake kutakuwa na "nyumba" ingine.Sijui mnaiitaje vile kwa kigogo?The "down-under" floor!😝😝Hapa kwenye msingi kuna reli kadhaa zimelazwa.