Nimeenda kwenye barua ya posa. Aliyoleta ni bahasha yenye barua ya
1. Kuomba kumposa binti.
2. Kitambaa cheupe kina fedha ndani na kimefungwa na pin nne Katika pembe zake nne.
3. Msumari yaani screw.. je watu wa Pwani au wengine wanaweza kufafanua hasa huo msumari na ufungaji wa kitambaa? Wao waislamu binti mkristo. Majibu walipewa.
1. Kuomba kumposa binti.
2. Kitambaa cheupe kina fedha ndani na kimefungwa na pin nne Katika pembe zake nne.
3. Msumari yaani screw.. je watu wa Pwani au wengine wanaweza kufafanua hasa huo msumari na ufungaji wa kitambaa? Wao waislamu binti mkristo. Majibu walipewa.