Hii ni coincedence...?

Hii ni coincedence...?

Uwezo wa kuzaa mapacha uko kwa mwanamke tuu na sio mwanaume, hivyo huyo kaka kupata wake wazaa pacha na mke wa nduguye kuzaa pacha, nijust a coincidence kwa upande wa mwanamume na wanawake hao, ila kwa wanawake kuzaa pachana kujirudia,ni genetics kwenye mambo ya mutations.

Hili la mke wa mtu kuzaa watotowanaofafana na nduguau jirani,pia its normal. Uthibitishoukokwenye biblia, ukiwa mja mzito, yule mtuunayemchukia sana basi utazaa mtoto anayefanana nae. Mbona jamanihata mimina wife wote weusi tii, wife amekaa ulaya, amejifungua mtoto mweupe copyright na mimi baba yake?. Wife akasema wakati wa ujauzito, aliwachukia sana wazungu!, its normal!.

Ukiona wanawake wamekaa kimya hapo kwenye bluu ujue wamekushka masikio mzee.....Huo ni uongo wa mitaani, hakuna uhusiano wowote wa Kisayansi eti mtu anayechukiwa ndiye mtoto anazaliwa anafanana naye! Jaribu kuuliza wataalamu wa genetics, sio ku-base argument yako kwenye mambo ya mitaani....Yale yale ya ''kumbemenda mtoto, kukata kimeo na degedege''!!
 
Natumaini unamaanisha binamu wa kinasaba na si binamu ya mtu asiye na uhusiano wa damu akaitwa binamu kimila tu kwa sababu ya ukaribu.

Kama ni hivyo kuna mawili

Mtu na binamu yake wana genetic relationship, kwa hiyo hata kama wao hawafanani inawezekana genes za kufanana zilizotoka katika familia yao bado zipo kwa huyu dogo . Unaweza kukuta katika familia bibi mweupe, mtoto mweusi halafu mjukuu kafuatilia genes za bibi kawa mweupe. Mimi binamu yangu akizaa mtoto anayefanana na mimi siwezi kushangaa, kwa sababu inawezekana mimi nafanana na bibi, na mtoto wa binamu anafanana na bibi yangu huyo huyo.Ila si lazima mzazi wake huyu mtoto afanane na bibi ili mtoto wake naye aje kufanana na bibi, inawezekana genes za kufanana na bibi zilikuwapo lakini hazikufanya kazi, zilikuwa zimelala zinasubiri kuamka wakati mwingine.



Lakini pia kama alivyosema mkuu hapo juu, inawezekana kabisa "mila zimedumishwa" maaana sehemu nyingine mkubwa akikohoa mdogo hana chake.
 
its more of a coincidence

ee baba Mungu,saidia mimi mja wako coincidence ya namna hii isije ikanitokea kwani hata wewe unajua inaweza kusababisha jela kwa mtu mmoja na ulemavu kwa mwingine na hata kifo baba!!coincidence ya watoto wangu kufanana na majirani au binamu, UNIEPUSHIE!
'uzungu wa kupitiliza kati ya waifu na kaka binamu zake, UNIEPUSHIE!

AMINA!
 
ee baba mungu,saidia mimi mja wako coincidence ya namna hii isije ikanitokea kwani hata wewe unajua inaweza kusababisha jela kwa mtu mmoja na ulemavu kwa mwingine na hata kifo baba!!coincidence ya watoto wangu kufanana na majirani au binamu, uniepushie!
'uzungu wa kupitiliza kati ya waifu na kaka binamu zake, uniepushie!

Amina!

amen
 
Back
Top Bottom