Program Manager
JF-Expert Member
- Aug 6, 2018
- 2,763
- 3,955
Wataalam, huu weusi kwenye kifaa hiki cha fridge ni dalili gani na inasababishwa na nini? Je, kuna madhara? Mwanzo nilipolinunua huu weusi haukuwepo kabisa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
inaweza kuwa ni leakage kwenye pipe hiyo ya condenser, hapo refrigrant inaingia kwa pressure kubwa kutoka kwenye compressor... kuthibitisha kama ni leakage / kuvuja weka maji kidogo kwenye pipe nje uone kama kuna hewa inatoka au (not recommended) kuchukua mfuko wa plastic kama wa mikate hii loaf, then funga na shika kwa mkono kama unavimba basi ni leakage..... Je fridge hiyo ni brand gani? kwa msaada zaidi unwa nicheki mkuu 0763 84 84 32, Dar es salaam, UbungoWataalam,Huu weusi kwenye kifaa hiki cha fridge ni dalili gani na inasababishwa na nini?je kuna madhara?
Mwanzo nilipolinunua huu weusi haukuwepo kabisa
Sawa mkuu,je niweke maji ikiwa on au off? Fridge ni bossinaweza kuwa ni leakage kwenye pipe hiyo ya condenser, hapo refrigrant inaingia kwa pressure kubwa kutoka kwenye compressor... kuthibitisha kama ni leakage / kuvuja weka maji kidogo kwenye pipe nje uone kama kuna hewa inatoka au (not recommended) kuchukua mfuko wa plastic kama wa mikate hii loaf, then funga na shika kwa mkono kama unavimba basi ni leakage..... Je fridge hiyo ni brand gani? kwa msaada zaidi unwa nicheki mkuu 0763 84 84 32, Dar es salaam, Ubungo
Shukrani ngoja nitestgas inavuja
chukua maji kisha changanya na sabuni, koroga upate povu kisha weka povu hapo kwenye weusi
washa friji motor iungurume, cheki kama kuna maputo yanatoka
Shukrani mkuu ngoja nifanye hivyoikiwa ON fridge, weka maji hayo maeneo kama unadongoshea matone tone ujue panapo vuja
Aiseemkuu hiyo brand boss ni mchina! you what is. ukipata mitumba za america au europe au austrilia ni nzuri quality yake
Vipi akiweka povu la sabuni juu ya pipe hiyo?inaweza kuwa ni leakage kwenye pipe hiyo ya condenser, hapo refrigrant inaingia kwa pressure kubwa kutoka kwenye compressor... kuthibitisha kama ni leakage / kuvuja weka maji kidogo kwenye pipe nje uone kama kuna hewa inatoka au (not recommended) kuchukua mfuko wa plastic kama wa mikate hii loaf, then funga na shika kwa mkono kama unavimba basi ni leakage..... Je fridge hiyo ni brand gani? kwa msaada zaidi unwa nicheki mkuu 0763 84 84 32, Dar es salaam, Ubungo
Sawa mkuu ahsante sana kweli nimetest nimeona povu la sabuni linavimba kama puto 😔hata ikitokea unataka kuitengeneza hakikisha unaweka spear ya fridge za mtumba bila hivyo utapoteza pesa sana
inaweza kuwa ni leakage kwenye pipe hiyo ya condenser, hapo refrigrant inaingia kwa pressure kubwa kutoka kwenye compressor... kuthibitisha kama ni leakage / kuvuja weka maji kidogo kwenye pipe nje uone kama kuna hewa inatoka au (not recommended) kuchukua mfuko wa plastic kama wa mikate hii loaf, then funga na shika kwa mkono kama unavimba basi ni leakage..... Je fridge hiyo ni brand gani? kwa msaada zaidi unwa nicheki mkuu 0763 84 84 32, Dar es salaam, Ubungo
Mkuu ulifanikiwa kumpata huyu mkuu wa ubungoWataalam, huu weusi kwenye kifaa hiki cha fridge ni dalili gani na inasababishwa na nini? Je, kuna madhara? Mwanzo nilipolinunua huu weusi haukuwepo kabisa.
View attachment 2564564View attachment 2564565
Hapana mkuu,nilifuata ushauri wake lakini nilitumia fundi wa mkoani tu tatizo likaishaMkuu ulifanikiwa kumpata huyu mkuu wa ubungo