Apollo one spaceship
JF-Expert Member
- Jan 28, 2021
- 245
- 457
Mtu unakutana naye mara ya kwanza kabisa,hamjawahi hata kuonana au kuongea nae lakini akiingia kwenye ofisi yako utasikia anakwambia
¶[emoji2788]"Nilikuwa naulizia kazi"="I was asking for a job"
[emoji848]Haya ulikuwa unaulizia kazi,wapi huko?? imekuwaje sasa,ulipata hiyo kazi,nikusaidieje sasa?????
Au una maana uliniuliza hiyo kazi labda sikusikia ndo umekuja kurudia ili nikusikie vizuri??????
[emoji16]Au mtoto anakwambia[emoji2788] "nilikuwa naomba hela"="I was asking for money"
[emoji848]When were you asking for money??
From whom????
Did he/she give the money to you????
*Labda kama aliomba hela na hukumsikiliza vizuri,hapo atakuwa na nafasi ya kuulizia tena kwa maneno yale,tofauti na hapo huyo mtu hajiamini,hana uhakika na kitu anachohitaji au yupo kitapelitapeli anataka ujiongeze
#Huku ni kukosa confidence........ period.
¶[emoji2788]"Nilikuwa naulizia kazi"="I was asking for a job"
[emoji848]Haya ulikuwa unaulizia kazi,wapi huko?? imekuwaje sasa,ulipata hiyo kazi,nikusaidieje sasa?????
Au una maana uliniuliza hiyo kazi labda sikusikia ndo umekuja kurudia ili nikusikie vizuri??????
[emoji16]Au mtoto anakwambia[emoji2788] "nilikuwa naomba hela"="I was asking for money"
[emoji848]When were you asking for money??
From whom????
Did he/she give the money to you????
*Labda kama aliomba hela na hukumsikiliza vizuri,hapo atakuwa na nafasi ya kuulizia tena kwa maneno yale,tofauti na hapo huyo mtu hajiamini,hana uhakika na kitu anachohitaji au yupo kitapelitapeli anataka ujiongeze
#Huku ni kukosa confidence........ period.