Hii ni dharau kubwa kwa wachezaji wetu wa ndani

Hii ni dharau kubwa kwa wachezaji wetu wa ndani

Ni kweli Juma ana vitu kamzidi Kapombe ila Kapombe haingii mara mbili kwa Juma ikiwa hivyo Juma angekuwa timu kubwa zaidi ya Yanga
 
Nilichogundua ukizigusa Simba na yanga bas tambua umeamua kukaribisha matusi

Ukwel n kuwa ambangile anasimamia kile anachokiamin

Haishi kinafiki hata kidogo



Sent from my TECNO F1 using JamiiForums mobile app
 
Kwani amedanganya? Djuma ana goli 1 na assist 2 amehusika kwenye magoli 4. kapombe?
 
Acha kufananisha KAPOMBE mchezaji wa timu kubwa na aliyewahi kuchezea timu kubwakubwa tu.。。na huo utopolo ambao mafanikio yake ni kucheza utopwinyo,

Sent from my PBBM00 using JamiiForums mobile app
 
Mpira ni mchezo wa wazi acheni kumlinganisha JUMA na vitu vya kipuuzi
 
Back
Top Bottom