Hii ni divisheni gani? Kuna dogo kapata hivi form 4

Hii ni divisheni gani? Kuna dogo kapata hivi form 4

Wataalam wa elimu hii division three au four? Kama ni division 3 ni division three ya ngapi?
Civics C pass
History C pass
Kiswahili C pass
Commerce C pass
English D pass
Biology D pass
Georgraphy F
Bookkeeping F
Mathematics F
3 ya 25
 
Wataalam wa elimu hii division three au four? Kama ni division 3 ni division three ya ngapi?
Civics C pass
History C pass
Kiswahili C pass
Commerce C pass
English D pass
Biology D pass
Georgraphy F
Bookkeeping F
Mathematics F
III.25
 
Kinachotakiwa ni awe na sifa za kufanya mtohani wa alevo. Kama yuko smart hata EGM anasoma bila shida na anaweza faulu bila shida.
Mziki wa EGM hauwezi kuucheza labda akapige HGE tena hukooo private maana GVNT hawezi kupangiwa, akutane na BAM sio PURE huko private na isiwe shule shindani maana shule shindane private wanapiga lecture tu wakiamini wanafunzi wameishajiongeza vya kutosha tuition.
 
Usimpotezee muda Kwa kuanza kusoma form V. Muombee vyuo vya kati (DMI, INSTITUTE FOR TRANSPORT, BANDARY COLLEGE n k).
 
Back
Top Bottom