Hii ni Gari Halali kwa Matajiri Duniani ila Wengi hawajui Utofauti wa Hizi Gari.

Hii ni Gari Halali kwa Matajiri Duniani ila Wengi hawajui Utofauti wa Hizi Gari.

Bill Lugano

JF-Expert Member
Joined
Aug 20, 2018
Posts
1,189
Reaction score
6,450
Range Rover inasimama kuwa ni Moja ya Best SUV Cars in the World. Na asilimia 90 ya Matajiri Duniani hawakosi moja ya Version za Range Rover zilizopo hapa Chini.

Screenshot_20190517-074425~2.png


Binafsi nmefanikiwa kuwa na hizi version mbili za chini. Namba tatu na namba nne. Na juzi juzi nlipoenda Arusha nlikuwa na hiyo namba nne. Ni gari zito linalokaa vizuri barabarani. Unakanyaga mafuta mpaka 180 ila unahisi kama upo tu speed ya 90.

Wengi huwa hawajui tofauti yake na kuna jamaa yangu aliniuliza kwa nini nimenunua gari moja tofauti rangi (moja black hiyo namba nne na nyingine dark gray hiyo namba tatu) akiamini ni gari ile ile mpaka nlipomwonesha tofauti zake.

Gari haiyumbi inatulia barabarani naona pia unaweza kuona jinsi inavyo gain momentum from 0-100 speed. Na hii ni kutokana na kuwa na Horse Power kubwa. Si gari ya kuwa nayo ikiwa unafikiria fikiria mafuta. Ila ni gari yenye heshima sana hapa Duniani.

Karibuni kwenye Ulimwengu wa RANGE ROVER. Tupeane uzoefu zaidi na ushauri.
 
Inachoniuma hii gari kila siku inazidi kupoteza muonekano wake labda hiyo autobiography kidogo..
Ndoto yangu inazidi kupotea nikija kupata mahela gari ya ndoto zangu ifakua imeshapitoza muonekano wake ndio hela zitaishia bar alafu mnaanza kunilaumu poa tu
 
Ndiyo 232. Ila utapata shida kuzimaliza hizo speed. Barabara zetu siyo rafiki sababu ya humps na mashimo sometimes. Ukiacha speed limit nazo zitakukosesha uhondo

Upo sahihi mkuu, napambana ili siku moja nimiliki huyo mnyama Range Rover Evoque. Ipo siku
Lakini si speed hadi 240km/h mkuu?
 
Svauto ndo imebaki na mwonekano wa kale ulioboreshwa wa RR. Nami nlilipenda sababu limekaa kiume sana na hasa sisi wenye misimamo ya kale ya RR. vijana wakoloni.lina space pia kubwa sana.

Evoque nliona inafaa sana kwa wadada, ntakuja kumnunulia wife nikioa yeye awe na evoque.

Inachoniuma hii gari kila siku inazidi kupoteza muonekano wake labda hiyo autobiography kidogo..
Ndoto yangu inazidi kupotea nikija kupata mahela gari ya ndoto zangu ifakua imeshapitoza muonekano wake ndio hela zitaishia bar alafu mnaanza kunilaumu poa tu
 
Range Rover inasimama kuwa ni Moja ya Best SUV Cars in the World. Na asilimia 90 ya Matajiri Duniani hawakosi moja ya Version za Range Rover zilizopo hapa Chini.

View attachment 1099973

Binafsi nmefanikiwa kuwa na hizi version mbili za chini. Namba tatu na namba nne. Na juzi juzi nlipoenda Arusha nlikuwa na hiyo namba nne. Ni gari zito linalokaa vizuri barabarani. Unakanyaga mafuta mpaka 180 ila unahisi kama upo tu speed ya 90.

Wengi huwa hawajui tofauti yake na kuna jamaa yangu aliniuliza kwa nini nimenunua gari moja tofauti rangi (moja black hiyo namba nne na nyingine dark gray hiyo namba tatu) akiamini ni gari ile ile mpaka nlipomwonesha tofauti zake.

Gari haiyumbi inatulia barabarani naona pia unaweza kuona jinsi inavyo gain momentum from 0-100 speed. Na hii ni kutokana na kuwa na Horse Power kubwa. Si gari ya kuwa nayo ikiwa unafikiria fikiria mafuta. Ila ni gari yenye heshima sana hapa Duniani.

Karibuni kwenye Ulimwengu wa RANGE ROVER. Tupeane uzoefu zaidi na ushauri.
Hongera sana mkuu, hayo ni mafanikio makubwa!

Congratulations and big up
 
Svauto ndo imebaki na mwonekano wa kale ulioboreshwa wa RR. Nami nlilipenda sababu limekaa kiume sana na hasa sisi wenye misimamo ya kale ya RR. vijana wakoloni.lina space pia kubwa sana.

Evoque nliona inafaa sana kwa wadada, ntakuja kumnunulia wife nikioa yeye awe na evoque.
Subiria uone wadada watakavyomiminika huko pm maadam,lengo lako litatimia muda si mrefu kuwa na subira
 
😂😂😂 pia kuna wauaji wanavaa suit, wanavaa kanzu, wanavaa jeans .utaacha vaa hivyo? RR ni gari ya heshima Dunia nzima wewe ukiichukia hata hawajui kuwa upo....

Nimeanza kudharau Range baada ya kuona kila muuwaji (mzungu wa unga) Tanzania anamiliki hizo. Yaani mpaka Shamimu Mwasha naye ana lake wakati kaharibu wabongo wenzake kibao kwa kuwalisha unga. Silitaki tena hili gari.
 
Back
Top Bottom