Bilionea anaanzisha uzi na anafuatilia kila coment!! Toka saa 2 ashn mpaka saa 9 alasiri yupo onlineAhahaha Niamini mimi kibongo bongo mwenye Range Mbili ni Bilionea na ni ngumu Bilionea kupoteza Muda JF..
Ahahaha.. Fuatilia nyuzi zake za nyuma ucheke ufe!Bilionea anaanzisha uzi na anafuatilia kila coment!! Toka saa 2 ashn mpaka saa 9 alasiri yupo online
Weka picha acha maswali ya jela....Ili iweje?
Mimi itanisaidia nini?
Wewe itakusaidia nini?
😂 😂 😂 😂 😂 😂Subiria uone wadada watakavyomiminika huko pm maadam,lengo lako litatimia muda si mrefu kuwa na subira
Same huko mlimani kwa spidi hiyo duuiuh hatariKuna sehemu hapo same jamaa yangu ana honda ina 280 speed huwa anafikisha 240
Hapana huwa anaenda kilimanjaro ni main road sio ndani ndaniSame huko mlimani kwa spidi hiyo duuiuh hatari
Kwenye hili nakubaliana na wewe, kuwa gari zilikuwa manufactured Europe kwa ujumla ni stable na nguvu hata kuwa na uwezo wa kukinga kiwango cha ajali kisitokee mara kwa mara. Kuna acc moja iko ista inaonyesha nguvu za gari za Muingereza kuweza kufaulisha gari za mjapani kwenye mazingira magumu (huu ni mfano tu)Mzalendo wewe kutoziona haifanyi mimi nisiwe nazo. Hilo la kwanza.
Hizi ni gari imara nzito ambazo zimebalance vizuri hata unapokimbiza haiwi nyepesi kusababisha ianguke kirahisi. Ni gari imara na zenye nguvu.
Lakini pia mimi yangu imeshawahi pata pancha nikatembea umbali mrefu bila badilisha kama vile halijapata pancha. Though alarm ilishanitaarifu jambo hilo (umeme una sense hata tyre ikiwa na upepo kidogo)
Cameras zipo mbele na nyuma pia.haziyumbi barabarani.na kadri unavyoikimbiza yenyewe inachutama kukumbatia ardhi hivyo kutengeneza stability. Bullet proof bodies zipo na za kawaida zipo yangu si bullet proof but ina bati la tofauti na nyingi za toyota ambazo hata ukiegemea linabonyea.
Mimi nina kgs 90 plus nasimama juu ya hiyo bonnet bila shida kabisa.ndani ni comfortable ukikaa barabarani umefunga vioo (of course hii gari sijawahi tembea nayo vioo wazi) ukakanyaga mpaka speed 180-200 huhisi kama gari inakimbia sana.
Sema ukitizaman nje utaona watu wameshika vichwa na kuacha vinywa wazi.wanashangaa hii ndege ya chini chini inaenda wapi. Hii ni moja ya tofauti kubwa na gari za toyota.
Hapo sawa nilitaka kushangaaHapana huwa anaenda kilimanjaro ni main road sio ndani ndani
[emoji16][emoji3]Inachoniuma hii gari kila siku inazidi kupoteza muonekano wake labda hiyo autobiography kidogo..
Ndoto yangu inazidi kupotea nikija kupata mahela gari ya ndoto zangu ifakua imeshapitoza muonekano wake ndio hela zitaishia bar alafu mnaanza kunilaumu poa tu
Mbona umekariri maisha boss? Range mbili ni mill 600 tu. So bongo ukiwa na gari za 600 mill ni billionaire?Ahahaha Niamini mimi kibongo bongo mwenye Range Mbili ni Bilionea na ni ngumu Bilionea kupoteza Muda JF..
Kama huna gari unafanya nn humu? Nenda MMU upesiBora wewe unayo hsta hiyo Raum