Hii ni Gari Halali kwa Matajiri Duniani ila Wengi hawajui Utofauti wa Hizi Gari.

Hii ni Gari Halali kwa Matajiri Duniani ila Wengi hawajui Utofauti wa Hizi Gari.

Dogo bado tu umekomaa na kiki za kusaka mademu kwa nguvu




@#$**********$#&@@ [emoji36][emoji36][emoji36][emoji36][emoji36]


[emoji124]
 
Range Rover inasimama kuwa ni Moja ya Best SUV Cars in the World. Na asilimia 90 ya Matajiri Duniani hawakosi moja ya Version za Range Rover zilizopo hapa Chini.

View attachment 1099973

Binafsi nmefanikiwa kuwa na hizi version mbili za chini. Namba tatu na namba nne. Na juzi juzi nlipoenda Arusha nlikuwa na hiyo namba nne. Ni gari zito linalokaa vizuri barabarani. Unakanyaga mafuta mpaka 180 ila unahisi kama upo tu speed ya 90.

Wengi huwa hawajui tofauti yake na kuna jamaa yangu aliniuliza kwa nini nimenunua gari moja tofauti rangi (moja black hiyo namba nne na nyingine dark gray hiyo namba tatu) akiamini ni gari ile ile mpaka nlipomwonesha tofauti zake.

Gari haiyumbi inatulia barabarani naona pia unaweza kuona jinsi inavyo gain momentum from 0-100 speed. Na hii ni kutokana na kuwa na Horse Power kubwa. Si gari ya kuwa nayo ikiwa unafikiria fikiria mafuta. Ila ni gari yenye heshima sana hapa Duniani.

Karibuni kwenye Ulimwengu wa RANGE ROVER. Tupeane uzoefu zaidi na ushauri.
Napenda sana velar,Mungu ajalie niivute hii this year
 
1. RR Cullinan
2. Lambo Urus
3. Bentayga
4. G63
Hutojutia ukichukua moja wapo hapo
 

Attachments

  • avto_msk-20190518-0003.jpg
    avto_msk-20190518-0003.jpg
    58.2 KB · Views: 27
  • avto_msk-20190518-0002.jpg
    avto_msk-20190518-0002.jpg
    53.9 KB · Views: 26
Niko job hapa TRA mkoa flan kesho tuma plate namba za hizo range zako na jina lako halisi niangalie kwenye mtambo wa taifa
 
Hizo gari ni za heshima kweli sio mchezo mimi hiyo ya Kwanza sijui mnasema ya kike poa tuu nakaona ni kazito kweli kanashika lami ila Mimi hiyo ya pili kutoka juu ndio chaguo langu na Porsche Cayyene siku hiyo ntakavyoamka na mpunga ninao ntachukua yeyote nimezifatilia naona sifa nazotaka zinaenzana ila Porsche ni jiwe zaidi lisilojulikana...
 
Dah na mtindo wa kusoma content bila kuangalia mtumaji, baada ya kuangalia picha na kusoma line ya kwanza. hapo ikabidi nirudi juu ni hakiki jina la mtumaji
 
Back
Top Bottom