Huyo polici aliyemshika CD naona anakwepa kuangalia masaburi asije akaadhirika bure:lol:
Mama hajatembea bila nguo barabara, katembezwa bila nguo. Kadhalilishwa.
Hii picha ni ya siku nyiiingi..ili tukio lilitokea Southern Sun hotel Dar jirani na International House...kati ya Changudoa na Mwarabu baada ya Changu kutoridhishwa na malipo na kupambana na Mwarabu akiwa mtupu...
kweli kabisa, zamani nilikuwa nashangaa ila kuna watu kabisa unawaangalia unasema huyu kweli maji ya shingo yamemfikiautamdhalilishaje mwenzio unapotoka nje ya ndoa?
Si wote wanaotoka nje ya ndoa/mahusiano wanajidhalilisha, kuwadhalilisha wenzi au hata wazazi wao. Kutoka nje ya ndoa ni maamuzi binafsi kama vile ambavyo mtu anaamua kuolewa au kuwa na uhusiano wa kimapenzi kwa ujumla.
Kusema kuwa ni kudhalilisha na sawa na kujibinafsisha ukubwani kwa mtu asiyejua unapotaka, asiyekuelewa na asitake kufanya bidii ya kukuelewa, anayetaka kukumiliki.
Inapofikia mtu anatoka nje ya mahusiano lazima ni kwa minajili ya self satisfaction na sio kujidhalilisha. Unless anayetoka nae amdhalilishe.
Kutegemeana na sababu ya kutoka nje
hakuna kitu iinaitwa mwili mmoja, wewe ni wewe na mwenzio ni mwenzio. Hiyo ni misemo tu sio reality.
Mama hajatembea bila nguo barabara, katembezwa bila nguo. Kadhalilishwa.
Freema,
Wewe ni soo
kadhalilishwa??? mbona nasikia alikuwa anamkimbiza mdeni wake.....
naomba maana ya hilo neno, nisije report abuse.
Hii picha ni ya siku nyiiingi..ili tukio lilitokea Southern Sun hotel Dar jirani na International House...kati ya Changudoa na Mwarabu baada ya Changu kutoridhishwa na malipo na kupambana na Mwarabu akiwa mtupu...