Fidel80
JF-Expert Member
- May 3, 2008
- 21,947
- 4,470
hahahaaaaaaaaaa umenichekesha lol kwa hiyo ndio kaamua kwenda kuspend nalo sikukuu sa c angemuacha mwenzie akajichanganye na yeye
Kampani yake ilikuwa inahusika sana hapo ndo maana ukaachiwa matambala uyatunze yeye anapepelewa huko