Hii ni halali kweli je we ishawahi kukutokea?

Hii ni halali kweli je we ishawahi kukutokea?

hahahaaaaaaaaaa umenichekesha lol kwa hiyo ndio kaamua kwenda kuspend nalo sikukuu sa c angemuacha mwenzie akajichanganye na yeye

Kampani yake ilikuwa inahusika sana hapo ndo maana ukaachiwa matambala uyatunze yeye anapepelewa huko
 
Kumbe babu analetaga nini? hiyo sheria namba tatu ndio ile inasema ukiona kizuri kifungie ule peke yako au

Sijui ngoja aje aseme, au ni-PM nikwambie
 
Back
Top Bottom