L lyangatamwa New Member Joined Nov 26, 2012 Posts 4 Reaction score 1 Dec 10, 2012 #1 Habari nilizozipata toka chuo kikuu mzumbe ni kwamba hawa jamaa tangia wafungue chuo mwezi wa kumi mpaka sasa hawajapata pesa zao za mkopo yaani pesa za misosi, hapo ni nani alaumiwe? Ni uongozi wa chuo au wanafunzi wenyewe au Bodi ya mikopo?
Habari nilizozipata toka chuo kikuu mzumbe ni kwamba hawa jamaa tangia wafungue chuo mwezi wa kumi mpaka sasa hawajapata pesa zao za mkopo yaani pesa za misosi, hapo ni nani alaumiwe? Ni uongozi wa chuo au wanafunzi wenyewe au Bodi ya mikopo?
A adolay JF-Expert Member Joined Dec 8, 2011 Posts 12,101 Reaction score 14,487 Dec 10, 2012 #2 kilaza anaongoza kila mtu anafanya atakalo hakuna wa kuwawajisha wazembe Kinana kakwiba meno ya tembo nani anashughulika nae Lowasa na Richmond yake ndo kwanza anautaka urais Mkuu jk na suti za weekleaks Change na vijisenti vya rada Pinda na uwongo wa mauwaji ya arusha mpaka leo bib kiroboto kakalia maelezo ya lema kumlinda pinda na ccm wasiumbuke Kamuhanda na mauwaji ya Daudi mwangosi Iringa Shilogile na mauwaji ya Ally zona morogoro Rama na mateso ya ulimboka Adam malima na Bunduki ya kijeshi morogoro . . . . Hawa wote kama ilivyo kwa mkuru mwenyewe wangeshatoshwa madarakani na pengine kufungwa lakini nani atamfukuza nani ikiwa wote ni wezi? Ndio maana bodi ya mikopo hawatii juhudi kulipa wanafunzi kwani mateso ya wanafunzi hayawahusu bwana!!!
kilaza anaongoza kila mtu anafanya atakalo hakuna wa kuwawajisha wazembe Kinana kakwiba meno ya tembo nani anashughulika nae Lowasa na Richmond yake ndo kwanza anautaka urais Mkuu jk na suti za weekleaks Change na vijisenti vya rada Pinda na uwongo wa mauwaji ya arusha mpaka leo bib kiroboto kakalia maelezo ya lema kumlinda pinda na ccm wasiumbuke Kamuhanda na mauwaji ya Daudi mwangosi Iringa Shilogile na mauwaji ya Ally zona morogoro Rama na mateso ya ulimboka Adam malima na Bunduki ya kijeshi morogoro . . . . Hawa wote kama ilivyo kwa mkuru mwenyewe wangeshatoshwa madarakani na pengine kufungwa lakini nani atamfukuza nani ikiwa wote ni wezi? Ndio maana bodi ya mikopo hawatii juhudi kulipa wanafunzi kwani mateso ya wanafunzi hayawahusu bwana!!!