Hii ni hujuma na hawa ni wahujumu uchumi kabisa. Serikali ifumbue macho hatujui baada ya hapa watafanya nini

Hii ni hujuma na hawa ni wahujumu uchumi kabisa. Serikali ifumbue macho hatujui baada ya hapa watafanya nini

Komeo Lachuma

JF-Expert Member
Joined
Oct 31, 2014
Posts
7,926
Reaction score
17,030
Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.

Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.

NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.

Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.

Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.

Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.

Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.

Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
 
Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.

Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.

NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.

Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.

Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.

Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.

Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.

Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
Umeeleweka Mkuu 😅
 
Ni kweli wale viumbe wamekutwa na vifaa vya Chadema, bundi alikutwa amevaa Tshirt ya Chadema na ngedere alikutwa na kofia ya Chadema. Msajili wa vyama atoe onyo kali.
Kama uchunguzi utabaini kuwa Chadema ndiyo wamehusika kiwadhawishi hao Bundi na Ngedere watoke maporini kwao na kuja Kwenye laini za umeme wa SGR na kusabbabisha shoti, basi naafiki chama Cha Chadema kifutwe na kisiwepo Kwenye orodha ya vyama vya siasa nchini😅
 
Kuna sababu kwa nini hata katika baadhi ya akademi za Wagiriki wa kale, mbali na kusisitiza sana somo la Hisabati na Sayansi, Fasihi/Falsafa na Sarufi zilihitajika pia. Fasihi/Falsafa inasaidia sana katika kupanua uwezo wa kufikiri na kuchanganua mambo...

Fasihi!

downloadfile-1.jpg
 
Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.

Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.

NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.

Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.

Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.

Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.

Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.

Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
Jibu tunataka waliosema yana mifumo miwili
1) umeme
2)diesel
Kwa nini baada ya umeme kukatika yasitumie mafuta kama alivyosema Masanja Kadogosa?
Kadogosa ndiye mhujumu maana aliuhakikishia umma kuwa ni train ya kisasa.
 
Ila hii inayoelekea Kigoma ni hatari
Unamjua dereva lakini
Containers zote
Screenshot_20240731_154542_Google~2.png
 
Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.

Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.

NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.

Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.

Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.

Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.

Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.

Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
"Cha wapi" hicho?
 
Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.

Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.

NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.

Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.

Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.

Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.

Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.

Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
Sijawahi kuona uzi uliokosa facts kama huu kama nyau aisee!!! 😢 😭 😿
 
Vita ya kiuchumi ni ngumu ndugu zangu. Walitushindwa kwa popo waliowatumia kutuletea uviko, wamekuja kwa namna nyingine. Yote kukmwamisha mwamba.
 
Back
Top Bottom