Jasmoni Tegga
JF-Expert Member
- Oct 28, 2020
- 12,624
- 24,751
Kama tulidanganywa kuhusu matumizi ya diseli kama mbadala kwenye dharura, kwa nini tusiamini kwamba na sasa tumedanganywa kuhusu hujuma inayosemekana wamefanya bundi na ngedere?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
We dawa zako umemaliza?Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.
Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.
NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.
Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.
Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.
Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.
Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.
Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
Kwani mchungaji msigwa anasemaje? Au bado anajungusha picha ya Samia?Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.
Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.
NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.
Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.
Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.
Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.
Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.
Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
Ila hapo kwenye back up umedanganya. Maana baada ya ngedere kuchomoa nyaya, Treni ilisimama kwa muda wa masaa mawili na nusu. Hiyo back up ya diesel ilikuwa wapi?
hahaha hongera sana umetumia lugha ya picha!wasio na D mbili hawawezi kukuelewa!watakurupuka kukujibu ovyo.Nawachukia sana wapinzani. Wapinzani wamekuwa watu wa hovyo sana nchini. Hawana jambo zuri hata siku moja kama ambavyo serikali yetu haina jambo baya hata siku moja.
Ila naona awamu hii wamefika mbali sana. Wameanza kuhujumu Train yetu nzuri ya kizazaa ya SGR.
NDIYO WAMEANZA UHUJUMU WA MIUNDO MBINU. Imenishtua kuanza kuwatumia Bundi na Ngedere katika uharibifu huu. Hawa viumbe wana enda kuchomoa nyaya za umeme na kusababisha Train ighairi safari kwa masaa kadhaa tu machache.
Inaumiza sana wanasahau hii train umeme ukikatika itatumia diesel. Wanasahau kabisa. Wanadhani wataikomoa train kumbe wala. Train ina back up ya either diesel au battery kubwa katika behewa mojawapo.
Anyway mimi si mtaalamu wa haya mambo darasa la 7 la miaka hii sina mambo mengi sana. Ila najua hizi ni hujuma na wivu wa wapinzani. Wameamua kabisa kwa dhati kushirikiana na viumbe hivi kutaka igombanisha serikali na watu wake. Wanataka kusambaza hofu.
Hii train ni ya kizazaa kabisa. Imenunuliwa kwa bei mchekea sana baada ya wataalamu wetu ku negotiate na wauzaji na kuwalilia watupunguzie bei. Tumeuziwa bei ambayo nchi nyingine wanalia wanatamani ingekuwa wao.
Hawa wanunuzi walio jawa na usaalundo vichwani mwao wameweza kufanya waliyofanya kwa uwezo wa kamba zao zilipofikia. Leo hii tuna train kali kwa afrika nzima.
Wapinzani wanafanya hujuma? Inaumiza sana nchi hii Mbinguni tutafika siyo tumechoka. Tutafika tumekufa kabisa.
Jibu tunataka waliosema yana mifumo miwili
1) umeme
2)diesel
Kwa nini baada ya umeme kukatika yasitumie mafuta kama alivyosema Masanja Kadogosa?
Kadogosa ndiye mhujumu maana aliuhakikishia umma kuwa ni train ya kisasa.
Ameshaanza kuwaletea shida kwani bei ya manunuzi ilikuwa M500, alipewa M200 kwa ahadi ya kumaliziwa baada ya mwezi mmoja, sasa wanamzingua kuwa hana ule ubora waliotegemea kuwa anao na hajaleta wanachadema wa kutosha kumfuata kama alivyoahidi, sasa biashara yenyewe ni bubu haina maandishi hivyo anabaki na kinyongo tu cha kudhulumiwa M300.Kwani mchungaji msigwa anasemaje? Au bado anajungusha picha ya Samia?