Hii ni ibada ambayo hufanyika kwenye party za P Diddy

Hii ni ibada ambayo hufanyika kwenye party za P Diddy

enzo1988

JF-Expert Member
Joined
May 26, 2018
Posts
1,838
Reaction score
7,346
Muda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!

Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao?

GYh5aSDXkAAEu7m.jpg
GYiNKxUXQAAveP9.jpg


Ukitaka video mfuate huyu jamaa MattWallace888 na 50 Cent.
 
Muda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!

Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao??

View attachment 3109260View attachment 3109262

Ukitaka video mfuate huyu jamaa na 50 Cent.

Huyo mwenye Kapelo anafanana na AY
 
Hahaha Suge Knight ambae anatumikia jela huko katoa siri za wengi akiwemo latest Diddy ya kuwafanyia wote wanaenda kwake kutaka kuwa famous akiwaingizia yai la kuchemsha kama Ritual au makafara yao likivunjika bado hujaiva kwenye fani hiyo
Ila kama ni hivyo waulizwe walioenda kama ni kweli
 
Ulishawahi kuona video Dirty version za wanamuziki wa marekani? Check Tip Drill ya Nelly ,Wabble Wabble Master p ,ndiyo uchafu wanaofanya kwenye party zao yaani ni usodoma na gomola wa kushato ndiyo maana diddy kakutwa na chupa 1000 za kutindua NUKTA.
 
Muda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!

Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao??

View attachment 3109260View attachment 3109262

Ukitaka video mfuate huyu jamaa MattWallace888 na 50 Cent.

Brother Love huyo🤣
 
Muda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!

Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao??

View attachment 3109260View attachment 3109262

Ukitaka video mfuate huyu jamaa MattWallace888 na 50 Cent.

Niliwahi kuhdhuria ibada kama hii huko South.. Ni ibada ya waabudu shetani na huendana na kufanya ngono
Kuhani hupewa binti mrembo sana na maranyiki ni kigoli(bikra)
 
Hiyo tamaduni hata chinese wanafanya wana jina lao wanaita, its normal kwao haihusishi mashetani. Kwa africa ni kitu cha ajabu.
 
Back
Top Bottom