njumu za kosovo
JF-Expert Member
- Mar 9, 2017
- 3,820
- 9,625
Bado Snoop Doggy Dog.
NB: nasikia Yanga nao wana mpango wa kuonana na P.Diddy
Hapana sio Yanga mkuu ni zungu huyo anataka nyota ianze kuwaka tena mana madogo wamempoteza sana
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Bado Snoop Doggy Dog.
NB: nasikia Yanga nao wana mpango wa kuonana na P.Diddy
Ningeshangaa nisingeona comment yako Mshana Jr..😂😂Niliwahi kuhdhuria ibada kama hii huko South.. Ni ibada ya waabudu shetani na huendana na kufanya ngono
Kuhani hupewa binti mrembo sana na maranyiki ni kigoli(bikra)
Acha kutulisha matango poriMuda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!
Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao??
View attachment 3109260View attachment 3109262
Ukitaka video mfuate huyu jamaa MattWallace888 na 50 Cent.
x.com
twitter.com
Dah 🤣🤣🤣Niliwahi kuhdhuria ibada kama hii huko South.. Ni ibada ya waabudu shetani na huendana na kufanya ngono
Kuhani hupewa binti mrembo sana na maranyiki ni kigoli(bikra)
hata hapa bongo, huko uswahili mademu wanacheza uchi na vyupa vinamezwa.G unit mansion yenyewe 50cent alionesha kuna strip club ndan mademu wanacheza uchi na ndio kazi yao wanalipwa
Ss nani katoa taarifa? Na ilikuwaje miaka yote walikuwa waneshindwa kutoa taarifa?Muda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!
Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao??
View attachment 3109260View attachment 3109262
Ukitaka video mfuate huyu jamaa MattWallace888 na 50 Cent.
x.com
twitter.com
Tatizo Diddy, kwenye strip club yake, wanaume ndio walikuwa wanacheza uchi na ku ning'ing'ia kwenye mabomba.. ebu vuta picha striper burn boy 😅😅G unit mansion yenyewe 50cent alionesha kuna strip club ndan mademu wanacheza uchi na ndio kazi yao wanalipwa
Diddy ni mshetan wenyeweMuda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!
Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao??
View attachment 3109260View attachment 3109262
Ukitaka video mfuate huyu jamaa MattWallace888 na 50 Cent.
x.com
twitter.com
Kautaka mwenyeweTatizo Diddy, kwenye strip club yake, wanaume ndio walikuwa wanacheza uchi na ku ning'ing'ia kwenye mabomba.. ebu vuta picha striper burn boy 😅😅
Mtajeee [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Kuna sehemu nimesikia hata Bongo Kuna Diddy
Wee babuu em semaa kwelii, [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Niliwahi kuhdhuria ibada kama hii huko South.. Ni ibada ya waabudu shetani na huendana na kufanya ngono
Kuhani hupewa binti mrembo sana na maranyiki ni kigoli(bikra)
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi kupaliwaa, LolTatizo Diddy, kwenye strip club yake, wanaume ndio walikuwa wanacheza uchi na ku ning'ing'ia kwenye mabomba.. ebu vuta picha striper burn boy [emoji28][emoji28]
Shetani nae analipa wafuasi wake,ni ushetani huo aiseeUshetani upo wapi hapo? Hao mademu ndio kazi zao,wanalipwa.
Zee la uongo linatia chumvi aisee[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] nimechekaa hadi kupaliwaa, Lol
Eehh bwana ee hiv kumbe Surge yuko nyuma ya nondo???.Hahaha Suge Knight ambae anatumikia jela huko katoa siri za wengi akiwemo latest Diddy ya kuwafanyia wote wanaenda kwake kutaka kuwa famous akiwaingizia yai la kuchemsha kama Ritual au makafara yao likivunjika bado hujaiva kwenye fani hiyo
Ila kama ni hivyo waulizwe walioenda kama ni kweli
Alisemaga Naomi Campbell Diddy ana dudu ndogo😅Muda mfupi uliopita zimesambaa picha na video kuhusu yaliyokuwa yanafanyika huko kwenye party za P Diddy!
Yaani kuna ibada na sala zilizokuwa zinafanyika, mazingira ya hizo ibada ndiyo utata! Siyo mbaya coz kwenye utajiri wowote kuna siri nzito! Yeye mwenyewe wanasema wanataka kumuuwa! Ni kina nani hao??
View attachment 3109260View attachment 3109262
Ukitaka video mfuate huyu jamaa MattWallace888 na 50 Cent.
x.com
twitter.com