Hii ni Jamiiforums

Hii ni Jamiiforums

JaxenDL

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2022
Posts
221
Reaction score
495
Jamii ina watu tofauti tofauti, kukiwa na matabaka, kipato, elimu na mtindo wa maisha hutofautiana.

Kuna wenye ushawishi kam Mshana
Watu wajuaji na wabishi kama kiranga
Wenye degree za maisha kama Analyze
Wapo wasomi wa ngazi na taalum tofauti
Pia kuna matajiri kam akina kidukuliko
Wapenda utani, wacheshi
Wapo wenye majivuno na majigambo

Kuna warembo kama akina cocastic
Wapo wanapenda utamu kama akina mzabzab

kwa ufupi hii ni jamii tukubaliane na watu wa kila aina , mtu anasema watu wa facebook wamevamia au unakuta thread flani anasem peleka huu upuuzi facebook.

Tusichukuie kila kitu serious kihivyo hapa .
 
Nyuzi kibao za mambo ya msingi hazijibiwi. Ila nyuzi za kipuusi zinajibiwa sana


mfano:




 
Mzabzab anapenda zaidii 😂😂😂.. mkuu sijawahi kuona umegombana na mtu hapa
Nagombanaje na mtu jamani wakati hapa ndio napopata nafasi ya kupunguza stress. Nikigombana na mtu hapa sii ndio majanga.
Wee kukule mbususu tuu sema warembo wa jf wachoyo hao na mbususu zao🤣🤣🤣🤣🤣
 
Jamii ina watu tofauti tofauti, kukiwa na matabaka, kipato, elimu na mtindo wa maisha hutofautiana.
Kuna wenye ushawishi kam Mshana
Watu wajuaji na wabishi kama kiranga
Wenye degree za maisha kama Analyze
Wapo wapo wasomi wa ngazi na taalum tofauti
Pia kuna matajiri kam akina kidukuliko
Wapenda utani, wacheshi
Wapo wenye majivuno na majigambo
Kuna warembo kama akina cocastic
Wapo wwanapenda utamu kama akina mzabzab

kwa ufupi hii ni jamii tukubaliane na watu wa kila aina , mtu anasema watu wa facebook wamevamia au unakuta thread flani anasem peleka huu upuuzi facebook.
Tusichukuie kila kitu serious kihivyo hapa .
Unique Flower ety mzabzab anapenda utramuuu.
 
Nyuzi kibao za mambo ya msingi hazijibiwi. Ila nyuzi za kipuusi zinajibiwa sana


mfano:
Hii inahakisi jamii kipaumbee chake kwa sasa ni nini
 
Nagombanaje na mtu jamani wakati hapa ndio napopata nafasi ya kupunguza stress. Nikigombana na mtu hapa sii ndio majanga.
Wee kukule mbususu tuu sema warembo wa jf wachoyo hao na mbususu zao🤣🤣🤣🤣🤣
Aah hapa natoa stress pia mkuu nikikutanaga na comemet za wanajukwaa.. ngoja nikuombee kwa @toyeye
 
Back
Top Bottom