Hii ni kawaida ama nina shida gani mimi?

Hii ni kawaida ama nina shida gani mimi?

Mimi ni mkristo na naenda kanisani kila Jumapili. Na sisubiri kuombewa kwani nimekua nikijiombea mwenyewe ili Mungu aniepushe na hali hii.
Una maana gani kusema wewe ni Mkristo? Kibiblia Mkristo ni yule aliye na Roho wa Kristo (Warumi 8:9). Huwezi kuwa na Roho wa Kristo halafu udhuru watu! Unatumiwa na pepo kudhuru wengine unapokasirika. Ndiyo maana Biblia inakataza Mkristo asiwachukie watu (1 Yoh. 3:13 - 14)! Unapomchukuia mtu umevunja Neno la Mungu na pepo wanakuwa na mamlaka kukutumia kutekeleza kile Neno limesema - kuua au kuleta laana juu ya watu! Nakushauri ukate shauri, utubu kwa kutokuamini kwako na uokoke!
 
Mimi ni mkristo na naenda kanisani kila Jumapili. Na sisubiri kuombewa kwani nimekua nikijiombea mwenyewe ili Mungu aniepushe na hali hii.

na ukumbuke roho mtakatifu amempa kila mtu kipaji chake, ni vyema kujiombea na ni vyema kuombewa pia....
 
dah! naogopa kuchangia isije na mimi baada ya wiki ikawa ......... JAMAA MMOJA ALICHANGIA THREAD YANGU BAADA YA MWEZI AKAWA CHIZI...... MH CIAO.

'hope mwenyewe hajasikia...
 
Sijakuelewa mkuu, au unataka kua baba wa kambo?

Usinielewe vibaya mkuu, nataka kabla sijakushauri nikashauriane na maza-ako, maana napa ipresheni kuwa anajua A-Z ya shida yako. Mkuu ukinichukia n'takomaje mimi!
 
pole sana ndugu,hiyo siyo hali ya kawaida,,nashukuru unamwaamini Mungu,u just keep on praying akuondolee kabsaaaa hiyo hali,,n plz kwasababu umeshajifaham try to control ur feelings especially HASIRA.
 
Kasome Ufunuo wa Yohana upate habari za 666 chapa ya kishetani inawezekana nawe ni mmoja wao, pole.
 
mkuu hebu sema chochote kuhusu hawa viongozi wabadhirifu na mafisadi wa uchumi wetu kwani naamini walikukwaza, wanakukwaza na wataendelea kukukwaza.
hebu sema chochote hata kuhusu mzee wa kaya....
 
Wewe utakuwa na asili ya UNYAMANYAFU, una mapepo ya kuwashambulia na kuwadhuru waaokukwaza, unatakiwa ufanyiwe maombi ya DELIVERANCE
 
Hakuna kitu chochote cha ajabu hapo huenda ni incidence tu ambazo huenda hao watu unaokorofishana nao zinawakuta na wewe kwa akili yako finyu unadhani wewe ndio chanzo. Haya mi nimekuponda humu nichukie tuone kitatokea nini?


Naona,unaonja sumu!!
 
Una maana gani kusema wewe ni Mkristo? Kibiblia Mkristo ni yule aliye na Roho wa Kristo (Warumi 8:9). Huwezi kuwa na Roho wa Kristo halafu udhuru watu! Unatumiwa na pepo kudhuru wengine unapokasirika. Ndiyo maana Biblia inakataza Mkristo asiwachukie watu (1 Yoh. 3:13 - 14)! Unapomchukuia mtu umevunja Neno la Mungu na pepo wanakuwa na mamlaka kukutumia kutekeleza kile Neno limesema - kuua au kuleta laana juu ya watu! Nakushauri ukate shauri, utubu kwa kutokuamini kwako na uokoke!

ushauri ni mzuri basi yafaa kuufuata
 
mkuu hebu sema chochote kuhusu hawa viongozi wabadhirifu na mafisadi wa uchumi wetu kwani naamini walikukwaza, wanakukwaza na wataendelea kukukwaza.
hebu sema chochote hata kuhusu mzee wa kaya....

Sio kwamba napendezwa na hii hali ya nchi yetu, la hasha!.
Lakini sitaki kuwa katika kundi la watu ambao furaha yao huja pale wanapowaona wengine wakiteseka, wakiumia ama kutoka uhai.
I am a person with an inner directed personality, sipendi kuwa chanzo cha mateso kwa watu. Ndio maana najaribu kuitafutia ufumbuzi hii hali mkuu.
 
Wewe utakuwa na asili ya UNYAMANYAFU, una mapepo ya kuwashambulia na kuwadhuru waaokukwaza, unatakiwa ufanyiwe maombi ya DELIVERANCE

UNYAMANYAFU ndiyo kitu gani mkuu bujibuji.
 
Usinielewe vibaya mkuu, nataka kabla sijakushauri nikashauriane na maza-ako, maana napa ipresheni kuwa anajua A-Z ya shida yako. Mkuu ukinichukia n'takomaje mimi!

Ohoooo! Yashakuwa makubwa tena mkuu. Endelea kutujuza kama bado utakuwa Ok!
 
kuna kitabu kinaitwa safina ya nuhu,kanunue ukisome chote utapata mwongozo juu ya hali yako.
 
tafuta kitabu cha mwanadada Rhoda Byrne kinaitwa the Secret ukisome kinaweza kikakusaidia kujielewa
 
Back
Top Bottom