NILHAM RASHED
JF-Expert Member
- Nov 29, 2010
- 1,622
- 43
s. aleykum... akhbar zenu jamani niliwatupa kidogo vp mambo zenu? my hope ua all doing okay.... mi nna swali la kirafiki tuu....nimeona bara niiulize hii hal na vipi niiepuke....
ni kwamba yaani kila ikifika birthday yangu nnakuwa mnyonge na mwenye kulia na sababu siijui na sana sana mosst of dah time wallah anakuwa ni mama ndie anetawala mawazo yangu,,, na hakuna anaenifurahisha kwa siku ile ya part ispokuwa yeye na hata kama nikiwa kwenye hali ile ya majonzi yeye anambiapo happy birthday basi najiona hakuna alienipa zawadi kama yeye japo ni ya maneno huwa naridhika...
yaani hali hii wallah yanikosesha raha kwa ajili part nitaiandaa week nzima then nashindwa kuifurahia ni kwanini?? na hal hii huwa inatokea kwa wengine au vipi.... na ni vipi niepukane nayo??
ni kwamba yaani kila ikifika birthday yangu nnakuwa mnyonge na mwenye kulia na sababu siijui na sana sana mosst of dah time wallah anakuwa ni mama ndie anetawala mawazo yangu,,, na hakuna anaenifurahisha kwa siku ile ya part ispokuwa yeye na hata kama nikiwa kwenye hali ile ya majonzi yeye anambiapo happy birthday basi najiona hakuna alienipa zawadi kama yeye japo ni ya maneno huwa naridhika...
yaani hali hii wallah yanikosesha raha kwa ajili part nitaiandaa week nzima then nashindwa kuifurahia ni kwanini?? na hal hii huwa inatokea kwa wengine au vipi.... na ni vipi niepukane nayo??