Lycaon pictus
JF-Expert Member
- Jan 31, 2021
- 9,189
- 16,128
Kwenye plastic kunakundi moja la kemikali linalipatikana kwa wingi ndani yake. Linaitwa biphenols. Hii ni kemikali hatari sana sababu ni carcinogenic. Na mbaya zaidi kemikali hii inafanana na hormone inayopatikana kwa wanawake iitwayo estrogen na inaweza fanya kazi za estrogen.
Hii inaweza fanya mwanaume kuwa tasa na kuharibu afya ya uzazi ya mwanamke. Wenzetu wamepiga marufuku chupa za watoto za kunyonyea maziwa zilizo na plastic za kuwa na hii kemikali.
Kwa sisi ambao matumizi ya vikombe na sahani za plastic ni makubwa kupita kiasi tutakuwa tuna mabiphenols kiasi gani mwilini mwetu? Ni vyema serikali ikapiga marufuku matumizi ya plastic kama vyombo vya chakula ili kulinda afya ya raia wake.
Hii inaweza fanya mwanaume kuwa tasa na kuharibu afya ya uzazi ya mwanamke. Wenzetu wamepiga marufuku chupa za watoto za kunyonyea maziwa zilizo na plastic za kuwa na hii kemikali.
Kwa sisi ambao matumizi ya vikombe na sahani za plastic ni makubwa kupita kiasi tutakuwa tuna mabiphenols kiasi gani mwilini mwetu? Ni vyema serikali ikapiga marufuku matumizi ya plastic kama vyombo vya chakula ili kulinda afya ya raia wake.