lolyz
JF-Expert Member
- Sep 9, 2011
- 339
- 199
kama amekubali kuolewa analala chupi ya nini? ndio maana unasema lazima uanze kumuomba mpaka umvue saangapi tumia shuka moja kujifunika kama utalipia nauli tena
Inahuuuuuuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kama amekubali kuolewa analala chupi ya nini? ndio maana unasema lazima uanze kumuomba mpaka umvue saangapi tumia shuka moja kujifunika kama utalipia nauli tena
Jamani naomba tufahamishane labda mimi huwa nafanya makosa. Hivi kati ya mwanamke na mwanaume walioko ndani ya ndoa ni nani anayepaswa kumwambia mwenzake kuwa nahitaji kufanya tendo la ndoa? Maana siku zote mimi huwa ndiye ninayemwambia mke wangu kuwa nina hamu na tendo la ndoa.Sasa huwa nabaki nikijiuliza au huwa namkwaza mwenzangu,au huwa anaogopa kuniambia?,au huwa hana hamu na mimi? Au huwa hataki tuu. Tafadhali naomba tufahamishane.
Jamani naomba tufahamishane labda mimi huwa nafanya makosa. Hivi kati ya mwanamke na mwanaume walioko ndani ya ndoa ni nani anayepaswa kumwambia mwenzake kuwa nahitaji kufanya tendo la ndoa? Maana siku zote mimi huwa ndiye ninayemwambia mke wangu kuwa nina hamu na tendo la ndoa.Sasa huwa nabaki nikijiuliza au huwa namkwaza mwenzangu,au huwa anaogopa kuniambia?,au huwa hana hamu na mimi? Au huwa hataki tuu. Tafadhali naomba tufahamishane.
Inahuuuuuuu?