BwanaSamaki012
JF-Expert Member
- Jan 13, 2023
- 212
- 250
Hello ladies and gentlemens?
Poleni na pilika pilika za maisha nimekuja na habari nzuri kwenu kwa wale wapenzi wa Sato wabichi (fresh)
Tunatoa huduma ya kuuza samaki fresh aina ya Sato kwa bei ya Tsh 8,500 kwa kilo, wanaingia kati ya samaki 5 - 4 kwenye kilo 1.
Samaki wetu wanaradha nzuri kwa sababu ni fresh kabisa awajafanyiwa any kind of preservation method wanatoka direIct from the source (bwawani) tunakuuziwa kiwa bado ni wazima, samaki hai kabisa.
Tunapatikana Mingoi (mbele kidogo ya Bunju B) unaweza ukafika kwenye mabwawa yetu au tukakuletea hadi sehemu ulipo mteja
Karibu ujipatie Sato fresh.
Poleni na pilika pilika za maisha nimekuja na habari nzuri kwenu kwa wale wapenzi wa Sato wabichi (fresh)
Tunatoa huduma ya kuuza samaki fresh aina ya Sato kwa bei ya Tsh 8,500 kwa kilo, wanaingia kati ya samaki 5 - 4 kwenye kilo 1.
Samaki wetu wanaradha nzuri kwa sababu ni fresh kabisa awajafanyiwa any kind of preservation method wanatoka direIct from the source (bwawani) tunakuuziwa kiwa bado ni wazima, samaki hai kabisa.
Tunapatikana Mingoi (mbele kidogo ya Bunju B) unaweza ukafika kwenye mabwawa yetu au tukakuletea hadi sehemu ulipo mteja
Karibu ujipatie Sato fresh.