miss chagga
JF-Expert Member
- Jun 7, 2013
- 57,811
- 49,053
mmhStunter naona umeamka nao.. ila naona ujumbe umewafikia masista du wote wa town. Pia na wale Ambao wao kutwa instagram, fb, badoo... online 24/7. Kupika wavivu.. usafi wavivu.. hata kumpokea mume wavivu... . Wajirekebisheeeeeeee!
Mfundishe!Dah mwanangu we dume ila unajua kuchamba duuh...ila umeongea kweli dem mzur na shep ipo kitandani ni kifo cha mende mwanzo mwisho asa si uboya uu...
Labda ukiwaambia wewe ndo wataelewa,Hahaaaaa
Uwiiii nimecheka!
Acha wapinduliwe tu na ma housegal ,this is too much!
Mtu eti housegal anajua suruali ya mmeo imetatuka,sijui shirt halina kifungo na anarudishia kifungo,na pindo unategemea nn boss akimkuta?!na boxer anafua?!
Hivi unajua anavyoshona ananenea maneno gani?
Au mnafikiri limbwata mpk matunguri!?
Ndo maana baadhi ya familia hg hapiki chakula cha baba,Mungu atusaidie tu!
Vitu vingine tunajitakiaga wenyewe!
Na hg sikuhizi wanafundwa na mama zao so huwa wanakuja kimkakati kabisa wakipewa support na mama zao km hamjui!
Kaa kwnye nafasi yako km mke!
asanteHongera, uwe ivyo ivyo usikengeuke
Zile kucha zako kata tu usije ukawa kilaza kwa sababu hamna namna sasa!! 🙂"mwanaume kichambo babuu"
Yanatoka wapi yanaenda wapiHahahah Alafu kila nikiliona jina lako hasahasa hapo kwenye SALT basi mawazo yanahama hahah