Hii ni kwa wasichana magoigoi/vilaza

Mmmh! Kila leo afadhali ya jana. Kwani wanawake tumekukosea nini jamanii?
 
Zinaa Mbaya Jamani Mimi Nimeacha. Acheni Uzinzi. Hayo Ya Kitandani Yaachieni Ndoa. Mungu Awabariki.
 
Asante sana kwa ujumbe kwan umewafikia wanawake wote na masista duu mjini kwan wengi wao ni wazembe na wavivu hayupo sharp kila wakati yy kulalamika tuu wakati hata afanyi chochote.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…