Hii ni kwanini sina chuki nawanawake

Hii ni kwanini sina chuki nawanawake

litutumbwe

JF-Expert Member
Joined
Mar 13, 2023
Posts
642
Reaction score
1,303
Tuliombre mno taifaletu pendwa,
At this age above37,nimeona mengi na nimekwepa mishale mingu mno,haikua kazi rahisu
Leo naomba nishee nanyi sababu za kwanini sina chuki moyoni mwanguna wanawake,au jinsia ke, tofauti nawengi humu wanaoeneza sumu kwa wannawake .

1)malezi ya udogoni,
Udogoni nilibahatika kuoata mama bora aluyenilea vizuri,kwa upendo wote,hii ilinijiengea pisitive mindset toward women in general

2)kutokataliwa kimapenzi/kupendwa
Nina bahati yakupendwa,na kugonbaniwa na wanawake wengi nikiwa kijna,nilipata pv$$y for free and abundantly mpaka nikakinai,kwa kweli hii ikafanya nisiwe na chuki kabisa na jinsia ke

3)kusikilizwa,
Out of things i love in my life nikueleweka nini nataka,na wakti gani.. Wakati wa tendo nimebahatika kuheshimiwa mno na kupewa chochote nikiombacho,kutoka kwa ke. Hii inazidi kuondoa kama siyo kupalilia upendo wangu wadhati kwa jinsia hii.

Mwisho,nilizaliwa ndani yandoa na kulelewa malezi bora kutoka kwa mama nababa,nimeshuhudia wakiishi kwa upendo na furaha,hii inazidisha maradufu mimi kutokua na mtazamo hasi,na hostile kwa women

Sina baya kabisa na jinsia ke🙏
 
Tuliombre mno taifaletu pendwa,
At this age above37,nimeona mengi na nimekwepa mishale mingu mno,haikua kazi rahisu
Leo naomba nishee nanyi sababu za kwanini sina chuki moyoni mwanguna wanawake,au jinsia ke, tofauti nawengi humu wanaoeneza sumu kwa wannawake .

1)malezi ya udogoni,
Udogoni nilibahatika kuoata mama bora aluyenilea vizuri,kwa upendo wote,hii ilinijiengea pisitive mindset toward women in general

2)kutokataliwa kimapenzi/kupendwa
Nina bahati yakupendwa,na kugonbaniwa na wanawake wengi nikiwa kijna,nilipata pv$$y for free and abundantly mpaka nikakinai,kwa kweli hii ikafanya nisiwe na chuki kabisa na jinsia ke

3)kusikilizwa,
Out of things i love in my life nikueleweka nini nataka,na wakti gani.. Wakati wa tendo nimebahatika kuheshimiwa mno na kupewa chochote nikiombacho,kutoka kwa ke. Hii inazidi kuondoa kama siyo kupalilia upendo wangu wadhati kwa jinsia hii.

Mwisho,nilizaliwa ndani yandoa na kulelewa malezi bora kutoka kwa mama nababa,nimeshuhudia wakiishi kwa upendo na furaha,hii inazidisha maradufu mimi kutokua na mtazamo hasi,na hostile kwa women

Sina baya kabisa na jinsia ke🙏
Kweli kabisa
kumbe kuna wenye chuki na wanawake humu?🙄🙄🙄
Kweli kabisa
 
Mwalimu wako wa mwandiko alipata shida sana.

Ninyi ndio wale hadi mnaingia kidato cha kwanza hamjui kuandika.
 
Tuliombre mno taifaletu pendwa,
At this age above37,nimeona mengi na nimekwepa mishale mingu mno,haikua kazi rahisu
Leo naomba nishee nanyi sababu za kwanini sina chuki moyoni mwanguna wanawake,au jinsia ke, tofauti nawengi humu wanaoeneza sumu kwa wannawake .

1)malezi ya udogoni,
Udogoni nilibahatika kuoata mama bora aluyenilea vizuri,kwa upendo wote,hii ilinijiengea pisitive mindset toward women in general

2)kutokataliwa kimapenzi/kupendwa
Nina bahati yakupendwa,na kugonbaniwa na wanawake wengi nikiwa kijna,nilipata pv$$y for free and abundantly mpaka nikakinai,kwa kweli hii ikafanya nisiwe na chuki kabisa na jinsia ke

3)kusikilizwa,
Out of things i love in my life nikueleweka nini nataka,na wakti gani.. Wakati wa tendo nimebahatika kuheshimiwa mno na kupewa chochote nikiombacho,kutoka kwa ke. Hii inazidi kuondoa kama siyo kupalilia upendo wangu wadhati kwa jinsia hii.

Mwisho,nilizaliwa ndani yandoa na kulelewa malezi bora kutoka kwa mama nababa,nimeshuhudia wakiishi kwa upendo na furaha,hii inazidisha maradufu mimi kutokua na mtazamo hasi,na hostile kwa women

Sina baya kabisa na jinsia ke[emoji120]
Kama hiyo mindset ya kugombaniwa na wanawake na kuwalala, nakuja kusimlia jf ndo mama ako mzazi alivo kuanda kama ulivo msifia, kati ya nyie wawili wewe na mama ako kutakua na tatizo kubwa sanaa.......hamna mwanaume anae jisifia kugombaniwa ni laana hizo, na hizo tabia za kujisifia ni za jinsia ya kike, mkuu pia chunguza jinsia yako at 37yr hujachelewa.
 
Back
Top Bottom