mshikachuma
JF-Expert Member
- Dec 2, 2010
- 2,853
- 627
Hujajibu swali lakini! tusaidiane hii kitu pls!Nyie si mnapenda mnato, mtajijuu!
Hujajibu swali lakini! tusaidiane hii kitu pls!
Mbona wewe ni Mke wa mtu halafu unmtamani Rostam... unamuita Rostam (HANDSOME)Khaaaaaa...Dawa ya ukimwi ni kuacha uzinzi oa au olewa ukae na mumeo / mkeo kwa amani.
mmh! uchokozi huo mkuuKwan we ya namna gan?
Kwan we ya namna gan?
mmh! uchokozi huo mkuu
Mbona wewe ni Mke wa mtu halafu unmtamani Rostam... unamuita Rostam (HANDSOME)Khaaaaaa...
:tonguez: yummy!"lovyalovya"
Hii dawa imevumbuliwa lini na wapi?Dawa ya ukimwi ni kuacha uzinzi oa au olewa ukae na mumeo / mkeo kwa amani.
Hata mkewe Firauni alimtamani Yussuf. Hee, unanshangaza!, kwani sio Handsome?
Naona ushapata za appetizer!
Yaani we acha tu! ni kizungumkuti cha kufa mtuHii dawa imevumbuliwa lini na wapi?
Kwahiyo wote wanaopata ukimwi ni single, wazinzi au hawakai na wake/waume zao kwa amani?
Lakini saa nyingine mnamchokoza nyie wenyeweNilidhani ubishi wako ni kwenye majukwaa ya siasa tuu, kumbe hadi huku? duh!
Kweli kabisa, dada wa watu sometimes anakuwa anashuka point za maana lakini jamaa wengine sijui vipi wakiona jina lake tu lazima wamcrash hata kama kaongea point..Lakini saa nyingine mnamchokoza nyie wenyewe