Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
kwahiyo tukufuate wewe ambaye unayo isiyo mnato, ni banzoka bablish?inayotanuka weweza ingia ulale umoumo?Nyie si mnapenda mnato, mtajijuu!
wewe unapenda nini mshikemshike?Nyie si mnapenda mnato, mtajijuu!
wewe unapenda nini mshikemshike?
kwahiyo tukufuate wewe ambaye unayo isiyo mnato, ni banzoka bablish?inayotanuka weweza ingia ulale umoumo?
kama alivyosema da Faiza kaka acha uzinzi, make ukiambiwa lipi lina afadhali itakusaidia nini?? ikiwa huwezi kutambua kwa macho kama hili shamba kavu au lina ma-water.Inasemekana mkulima au wakulima wawili wenyejinsia 2 tofauti....kama analima au wanalima bila kuvaa buti miguuni kwenye shamba la tope
la fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata kama watalimana kwa saa moja au hata mawili. Na pia inasemekana kama wata
limana kwenye shamba la udongo mgumu uliokauka nato...nato...nato bila kuvaa buti ni rahisi sana kupata ukimwi hata kama watalimana
kwa dk 2 au hata dk 1. - Je, hii ni kweli au ni imani yetu tu?......
Haya wakubwa wote karibuni tuidadavue hii kitu....watoto wote mkacheze nje
kama alivyosema da Faiza kaka acha uzinzi, make ukiambiwa lipi lina afadhali itakusaidia nini?? ikiwa huwezi kutambua kwa macho kama hili shamba kavu au lina ma-water.
ndo utujuze ukirudi sio ukae kimyaaa kama ujaenda kulima mi nakuwait..Ngoja nikajaribu kulima nitarejea
Inabidi tuanzishe mashamba darasa hapa JF, mi nitakuwa Bwana shamba.
Maana bila hivyo tutabaki kuishi kwa kudhani na kuandikia mate.
sasa Faiza inakuwaje!!?mi jina lako tu...Uko wapi weyee? mbona yapo siku nyiiingi! ama kweli we si mkulima, watu wanalima mpaka wanavuna humuhumu. Unanshangaza!
Uko wapi weyee? mbona yapo siku nyiiingi! ama kweli we si mkulima, watu wanalima mpaka wanavuna humuhumu. Unanshangaza!
FF acha Bibie! sina habari eti, kumbe haya mashamba wanayosema ni ya humu humu? Basi ongere zao wakulima na kulimwa.
kWA NINAVYOJUWA.............. Kinachosababisha uukwae ni michubuko ........hvyo kwenye fwaka........fwaka...........fwakana............ nikuwa hakuna msuguano mkali hvyo hata uwezekano wa mchubuko ni mdogo sana............... lakini kwenye minato............. unaweza ukawa unaenda ndani wakati ngozi yote (nazungumzia iliyomenywa) ukaiacha nje...........Inasemekana mkulima au wakulima wawili wenyejinsia 2 tofauti....kama analima au wanalima bila kuvaa buti miguuni kwenye shamba la tope
la fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata kama watalimana kwa saa moja au hata mawili. Na pia inasemekana kama wata
limana kwenye shamba la udongo mgumu uliokauka nato...nato...nato bila kuvaa buti ni rahisi sana kupata ukimwi hata kama watalimana
kwa dk 2 au hata dk 1. - Je, hii ni kweli au ni imani yetu tu?......
Haya wakubwa wote karibuni tuidadavue hii kitu....watoto wote mkacheze nje
Unaweza ukanitajia mojawapo................. maana nina hamu ya kulima mpunga............... kilimo cha mahindi udongo mgumuNawee ulikuwa hujui kama kuna mashamba humu?
makubwa...Mbona wewe ni Mke wa mtu halafu unmtamani Rostam... unamuita Rostam (HANDSOME)Khaaaaaa...
mwanaume aliyekuoa wewe ana hasara iliyopona, au kama labda wewe bado nung'ayembe unahangaika hujaolewa, atakayekuoa atakuwa amepata hasara isiyofutika, kwasababu umetoboka mdomo na huna hadhi ya kuwa mwanamke wa kuolewa na kuishi kwenye ndoa. kama maneno yako yako hivyo, je, hilo tunda lako si litakuwa limeliwa na nyenyere lote limebaki mnyumbuko wa banzoka tu...huna hadhi wala huna maana. nakupa pole sana.Ulijuwaje weyee enhhh? hodari kweli wakupatia mambo au wee ndio katika waleee, waliokwisha kata rubber band?