Hii ni kweli au ni imani yetu tu? (wakubwa tu)

Hii ni kweli au ni imani yetu tu? (wakubwa tu)

ni vigumu kupata ukimwh kwenye shamba la fwakafwaka km hauna kidonda au mchubuko wowote,lakin udogo unaonata ni rahisi kukuchubua thus unarahizisha maambukizi
 
Uchunguzi zaid unahitajika hapo. maana shamba ni shamba
 
kwahiyo tukufuate wewe ambaye unayo isiyo mnato, ni banzoka bablish?inayotanuka weweza ingia ulale umoumo?

Ulijuwaje weyee enhhh? hodari kweli wakupatia mambo au wee ndio katika waleee, waliokwisha kata rubber band?
 
Inasemekana mkulima au wakulima wawili wenyejinsia 2 tofauti....kama analima au wanalima bila kuvaa buti miguuni kwenye shamba la tope
la fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata kama watalimana kwa saa moja au hata mawili. Na pia inasemekana kama wata
limana kwenye shamba la udongo mgumu uliokauka nato...nato...nato bila kuvaa buti ni rahisi sana kupata ukimwi hata kama watalimana
kwa dk 2 au hata dk 1. - Je, hii ni kweli au ni imani yetu tu?......

Haya wakubwa wote karibuni tuidadavue hii kitu....watoto wote mkacheze nje
kama alivyosema da Faiza kaka acha uzinzi, make ukiambiwa lipi lina afadhali itakusaidia nini?? ikiwa huwezi kutambua kwa macho kama hili shamba kavu au lina ma-water.
 
kama alivyosema da Faiza kaka acha uzinzi, make ukiambiwa lipi lina afadhali itakusaidia nini?? ikiwa huwezi kutambua kwa macho kama hili shamba kavu au lina ma-water.

Umeona eenhh?
 
Inabidi tuanzishe mashamba darasa hapa JF, mi nitakuwa Bwana shamba.

Maana bila hivyo tutabaki kuishi kwa kudhani na kuandikia mate.
 
Inabidi tuanzishe mashamba darasa hapa JF, mi nitakuwa Bwana shamba.

Maana bila hivyo tutabaki kuishi kwa kudhani na kuandikia mate.

Uko wapi weyee? mbona yapo siku nyiiingi! ama kweli we si mkulima, watu wanalima mpaka wanavuna humuhumu. Unanshangaza!
 
Uko wapi weyee? mbona yapo siku nyiiingi! ama kweli we si mkulima, watu wanalima mpaka wanavuna humuhumu. Unanshangaza!

FF acha Bibie! sina habari eti, kumbe haya mashamba wanayosema ni ya humu humu? Basi ongere zao wakulima na kulimwa.
 
Inasemekana mkulima au wakulima wawili wenyejinsia 2 tofauti....kama analima au wanalima bila kuvaa buti miguuni kwenye shamba la tope
la fwaka...fwaka...fwaka ni vigumu sana kupata ukimwi hata kama watalimana kwa saa moja au hata mawili. Na pia inasemekana kama wata
limana kwenye shamba la udongo mgumu uliokauka nato...nato...nato bila kuvaa buti ni rahisi sana kupata ukimwi hata kama watalimana
kwa dk 2 au hata dk 1. - Je, hii ni kweli au ni imani yetu tu?......

Haya wakubwa wote karibuni tuidadavue hii kitu....watoto wote mkacheze nje
kWA NINAVYOJUWA.............. Kinachosababisha uukwae ni michubuko ........hvyo kwenye fwaka........fwaka...........fwakana............ nikuwa hakuna msuguano mkali hvyo hata uwezekano wa mchubuko ni mdogo sana............... lakini kwenye minato............. unaweza ukawa unaenda ndani wakati ngozi yote (nazungumzia iliyomenywa) ukaiacha nje...........
 
acheni tabia za ubwabwa............. ukila vya wenzako na vyako pia vitaliwa, MUOGOPENI MUNGU WANA JF.
 
Ulijuwaje weyee enhhh? hodari kweli wakupatia mambo au wee ndio katika waleee, waliokwisha kata rubber band?
mwanaume aliyekuoa wewe ana hasara iliyopona, au kama labda wewe bado nung'ayembe unahangaika hujaolewa, atakayekuoa atakuwa amepata hasara isiyofutika, kwasababu umetoboka mdomo na huna hadhi ya kuwa mwanamke wa kuolewa na kuishi kwenye ndoa. kama maneno yako yako hivyo, je, hilo tunda lako si litakuwa limeliwa na nyenyere lote limebaki mnyumbuko wa banzoka tu...huna hadhi wala huna maana. nakupa pole sana.
 
Back
Top Bottom