Mkwawe
JF-Expert Member
- Jun 10, 2016
- 3,132
- 5,508
Daah inauma sana sana
Ubepari ndo sababu ya yote haya
Huku Tanzania sisi ni masikini wa viwanda tu, lakini chakula ni jambo kutilia maanani sana kwetu
Dodoma, Singida na Misenyi ni maeneo yanayopitia changamoto ndogo ndogo ila kamwe hakujawahi tikea mtu afe kwa kukosa chakula
Ujamaa unatubeba
Badilikeni wakenya nyie ni ndugu zetu,
Toeni vipaumbele kwa viti vya mantiki
Ubepari ndo sababu ya yote haya
Huku Tanzania sisi ni masikini wa viwanda tu, lakini chakula ni jambo kutilia maanani sana kwetu
Dodoma, Singida na Misenyi ni maeneo yanayopitia changamoto ndogo ndogo ila kamwe hakujawahi tikea mtu afe kwa kukosa chakula
Ujamaa unatubeba
Badilikeni wakenya nyie ni ndugu zetu,
Toeni vipaumbele kwa viti vya mantiki