Kiranja Mkuu
JF-Expert Member
- Feb 18, 2010
- 4,219
- 4,608
mwanamme mkware hana dawa..akiamua kutoka nje ya ndoa ndo basi tena, si lazima audhiwe huko ndani...
Lakini wakati mwingine kelele za akina mama husababisha shida hii pia~!
Wooooww!Mi naomba nikuite baba wa jamii forums.
Daima una mawazo mazuri.
Mungu akuongezee sana hekima.
Ubarikiwe sana .
kuna watu nilisikia wakisema wake za watu ni watamu na hawasumbui....ni kweli?
Kiranja Sikio la kufa halisikii dawa mkuu.MI HUWA NAJIULIZA SANA, IWEJE NYUMBA NDOGO IMKAMATE MUMEO WAKATI NAYE NI MWANAMKE MWENZIO?
JE NI KIPI ALICHOKUZIDI?
MBONA HUKO KWA NYUMBA NDOGO MUMEO AMETULIA NA HANA MAHANGAUIKO?
JIULIZE, HUENDA WEWE NI MKALI SANA KWA MUMEO, HUENDA UNAWAKA HASIRA, HUENDA NI MCHAFU, AMA HUMUONYESHI KUMJALI.
FANYA JITIHADA UMRUDISHE KWAKO KUNGALI MAPEMA.
MAANA CHELEWACHELWA UTAKUTA MWANA SI WAKO.:A S clock:
kuna watu nilisikia wakisema wake za watu ni watamu na hawasumbui....ni kweli?
MI HUWA NAJIULIZA SANA, IWEJE NYUMBA NDOGO IMKAMATE MUMEO WAKATI NAYE NI MWANAMKE MWENZIO?
JE NI KIPI ALICHOKUZIDI?
MBONA HUKO KWA NYUMBA NDOGO MUMEO AMETULIA NA HANA MAHANGAUIKO?
JIULIZE, HUENDA WEWE NI MKALI SANA KWA MUMEO, HUENDA UNAWAKA HASIRA, HUENDA NI MCHAFU, AMA HUMUONYESHI KUMJALI.
FANYA JITIHADA UMRUDISHE KWAKO KUNGALI MAPEMA.
MAANA CHELEWACHELWA UTAKUTA MWANA SI WAKO.:A S clock:
Preta ni watamu kweli, Unajua tena mapenzi ya kuiba na kujifichaficha na pia wahana usumbufu wa kukuomba hela kubwakubwa kwani atasema kwa mumewe amevipata wapi? Plz usijaribu kwani mwanaume utakayempa atakayakufanyia kumuacha sio rahisi. Stay Pleasedkuna watu nilisikia wakisema wake za watu ni watamu na hawasumbui....ni kweli?
...Hakuna kitu kinachoitwa limbwata nyie watu acheni kudanganyana. Kila siku tunawaambia kuwa nyie wanawake mlioolewa once mkishaingia kwenye ndoa mnajiamini kupita kiasi. Mnadhani mkishaolewa basi kazi imekwisha hamtaki kujishughulisha kuwajali waume zenu. Hivi vitabia vya kujifanya mnataka kuwa sawa na wanaume pia vinawapoteza, eti hutaki kuwa mnyenyekevu kwa mumeo kisa unajiona uko juu kwa kuwa umesoma na una kazi yenye mshahara mzuri so unaweza kushindana na mumeo. Mwanamke unatakiwa kuwa makini muda wote na kuhakikisha kuwa majukumu ya kumuhudumia mumeo yanabaki kuwa yako na si vinginevyo, wengine ndio wanahamishia usaidizi kwa wasichana wa kazi. Kuanzia kufua nguo ( tena mpaka chupi za mume), kupika chakula, kusafisha chumba, kutandika kitanda. Hizo nyumba ndogo zimegundua wanaume wenye ndoa wengi wao huwa frustrated na wake zao so wao wanapiga bao hapo hapo. Nyumba ndogo haoni tabu kumpa busu mwanaume, kumtengenezea chakula kitamu, wengine mpaka wanawaogesha wanaume kama watoto (utaacha kunogewa huko?), ukifika tu unapokewa kwa bashasha na pole kibao. Lazima mwanaume afarijike na ndipo ndoa zinapovurugika. Wito ni kuwa akina mama mlioko kwenye ndoa punguzeni kujiamini na ujeuri usiokuwa na maana. Hata wababa hakikisheni wake zenu mnawaweka karibu ingawa najua wengine mnakwazika na vijimambo vya wake zenu...........WENGINE WANAWAPA MALIMBWATA HAMFURUKUTI..
akili ya kimungu hamuwezi kufanya hayo.....
.. Ni kweli kabisa wao wanachohitaji ni kupewa starehe tu mambo ya mizinga sio sana.. Nilishawahi kukutana na mmoja kwa kweli ilikuwa kazi sana kuachana nae. Ni hatari pia.....kuna watu nilisikia wakisema wake za watu ni watamu na hawasumbui....ni kweli?