Hii ni list ya watu ambao wako peace humu ndani..

Nimesahaulika katika hii list..... Nimeona nami nijitaje....!!!πŸ™‚
 
GENTAMYCINE, umesahaulika huko, njoo ushuhudie


Sent using Jamii Forums mobile app

Sina shida ya Kukumbukwa na sikujiunga hapa JamiiForums ili niwe natajwa tajwa au nakumbukwa hovyo kama Marehemu ( Hayati ) tuliowazika Makaburini. Na isitoshe Mtu ukishakuwa ' Purely Talented, Charismatic Fella, Game Changer and Entertainer ' Wewe muda wote tu lazima utakuwa unakumbukwa ama na Wapumbavu wachache au na Werevu wengi. Kila la kheri.
 
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Dude nataniana na niliyemquote sawa?... Usiniletee mipasho uliyozoea kusutana na akina Delicious huko uswahilini ok?...

Sent using Jamii Forums mobile app

πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚ sasa hii ni uzi ni wa nani??
Ungekuwa wa kwako sawa!.
Halafu naona imekuuma sanaaa hivi vitu vigogo tuu..
Sikushangai maana hata yule jamaa mzee wa chura ulimwambia akatafute bwana!..

Alafu kama unataniana na huyu uliom quote why unitaje Mimi???..

Jiongeze Dada..
 
Ahaaa kuna la mtu anaitwa Asprin nimemuona kwalist kweli Dunia inaenda kasi

Sent using Jamii Forums mobile app
 
mim siko peace mkuu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…