Step by step
JF-Expert Member
- Apr 28, 2014
- 1,164
- 1,293
Salama humu ndani?
Jamani naombeni mnipe uzoefu nyie ambao mmeshakua na watoto na mna uzoefu hata kupitia vitabu tofauti.
Ovulation day ya wife wangu ilikua ni tar 12/9 na ndo kwake ilikua siku ya 14 na kwa kawaida ya mzunguko wake ilitakiwa awe ameshaingia m.p lakini mpaka sasa tar 23/9 bado hajaingia.
Kinachonifanya niulize ni namna anavyojisikia, yani dalili zote za bleed anazipata nyakati za asubuhi kiuno kinamuuma na matiti kuna mda anasema yanauma lakini ikifika mchana zinapotea anakua ok ila anapata uchovu ikifika jioni.
Mpaka sasa yupo fiti hakuna bleed japo dalili anaziona zinakuja na kupotea hebu nambieni hii ni hali ya kawaida au vipi.
Je kitaalam mimba inaanza kuonekana siku ya ngapi baada ya ovulation manake tumenunua kipimo jana kimesoma negative hebu nitoeni hofu wana jamii hapa. Kwa swali lolote niulizeni jaman labda sijsjieleza vizuri.
Jamani naombeni mnipe uzoefu nyie ambao mmeshakua na watoto na mna uzoefu hata kupitia vitabu tofauti.
Ovulation day ya wife wangu ilikua ni tar 12/9 na ndo kwake ilikua siku ya 14 na kwa kawaida ya mzunguko wake ilitakiwa awe ameshaingia m.p lakini mpaka sasa tar 23/9 bado hajaingia.
Kinachonifanya niulize ni namna anavyojisikia, yani dalili zote za bleed anazipata nyakati za asubuhi kiuno kinamuuma na matiti kuna mda anasema yanauma lakini ikifika mchana zinapotea anakua ok ila anapata uchovu ikifika jioni.
Mpaka sasa yupo fiti hakuna bleed japo dalili anaziona zinakuja na kupotea hebu nambieni hii ni hali ya kawaida au vipi.
Je kitaalam mimba inaanza kuonekana siku ya ngapi baada ya ovulation manake tumenunua kipimo jana kimesoma negative hebu nitoeni hofu wana jamii hapa. Kwa swali lolote niulizeni jaman labda sijsjieleza vizuri.