Boeing787-8
JF-Expert Member
- Aug 16, 2018
- 1,155
- 1,209
Hello,
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?
Msaada tafadhari
Miwani hii pichani, niliichukuwa Ili niivae kama fashion, maana ililetwa na donors Kwa NGO niliyokuwa nafanya kazi
Sasa one day nilizijalibisha, aisee kama huna shida ya macho huwezi kuzivaa ukatembea umbali mrefu, zinaonekana Zina lens Kali.
Kwa dakitari wa macho, hizi ni miwani gani na zinatibu tatizo gani?
Msaada tafadhari